Nokia 3310 kurejea tena.

bnhai

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2009
Posts
2,846
Reaction score
2,402
Hii ni miongoni mwa simu iliyouzwa kwa wingi duniani kuliko simu nyinginezo.
Simu ya Nokia 3310 iliingia sokoni miaka 17 iliyopita na ikaachwa kutengenezwa tena. Inakadiriwa kuwa simu 126 million ziliuzwa mpaka simu hizo zilipokoma kutengenezwa.
Sifa kuu za simu hizi ilikuwa ni uimara, kukaa na chaji muda mrefu na nyinginezo.
Simu hii inarudi tena sokoni ikiwa imeongezewa vionjo vya soko la kisasa na unafuu wa bei.
Je, unaweza kuitumia tena simu hii au ni vyema kuisahau kabisa?
Inakukumbusha nini?
 
mkuu weka na picha tuikumbuke uzuri wengine hizo namba hatuzijui
 
Mimi ninayo
mpaka leo
 
Kuna watu jukwaani huenda imewazidi umri
 

Hii ndo simu iliyouzwa zaidi?? What about nokia 110 ?na iPhone 6 ,,, Leta source mkuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…