Noises from New Maisha Club

Noises from New Maisha Club

Ila huko Kichangachui (kwa sisi wa zamani bado tunakuita hivyo huko Masaki) na Oysterbay kumefulia sana siku hizi. Juzi nimepita huko ikabidi nipunguze mwendo kuwasubiri ndama na mbuzi wakatize barabara. Yaani ni hovyo hovyo kabisa.

Watu wataruhusiwaje kufuga kwenye residential areas bana? It just doesn't make sense
 
Ila huko Kichangachui (kwa sisi wa zamani bado tunakuita hivyo huko Masaki) na Oysterbay kumefulia sana siku hizi. Juzi nimepita huko ikabidi nipunguze mwendo kuwasubiri ndama na mbuzi wakatize barabara. Yaani ni hovyo hovyo kabisa.

Watu wataruhusiwaje kufuga kwenye residential areas bana? It just doesn't make sense

mkuu ndio matunda ya kutokuwa na utawala unaozingatia sheria na kuendekeza rushwa.....kuna apartment ndefu ambazo ni kinyume na planning ya residential area kama hizo,bar,clubs na takataka zote.........
 
Back
Top Bottom