Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,100
- 136,732
Ila huko Kichangachui (kwa sisi wa zamani bado tunakuita hivyo huko Masaki) na Oysterbay kumefulia sana siku hizi. Juzi nimepita huko ikabidi nipunguze mwendo kuwasubiri ndama na mbuzi wakatize barabara. Yaani ni hovyo hovyo kabisa.
Watu wataruhusiwaje kufuga kwenye residential areas bana? It just doesn't make sense
Watu wataruhusiwaje kufuga kwenye residential areas bana? It just doesn't make sense