No time to die...chuma kimeachiwa


Mwanaume mwenzako unamuandikia β€œthis awesome dude” kuna shida mahali sio bure
 
Nilivyoona Title ya Hii uzi nkabet kuwa utakuwa wewe umeanzisha maana mostly ya kila kinachokuja kichwan ww unaandika uzi[emoji23]
 
Watch it at Cinemax with 3D....

Was so sexy....πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹ and I really enjoyed the show.
 
Bhangosha....!!

Ulikuwa waapiiii....!!!!??

Nilikutafuta nikupitie twendege tukaangalie sikukuonapo iiigghhhh....!!

Ukuye nikusimulie huku unanifumua nywele...!😜.

Hahah...

Ngoja nikutafute Kasinde, kombolela imenishinda...
 
Hahah...

Ngoja nikutafute Kasinde, kombolela imenishinda...


Aahahahahahaa umenikumbusha kidali poo na kombolela....

Sugar ukija hunioni..... πŸƒπŸ½β€β™€οΈπŸƒπŸ½β€β™€οΈπŸƒπŸ½β€β™€οΈ Halafu nakimbia mbio kujificha 🀣.
 
Aahahahahahaa umenikumbusha kidali poo nankombolela....

Sugar unlike hunioni..... πŸƒπŸ½β€β™€οΈπŸƒπŸ½β€β™€οΈπŸƒπŸ½β€β™€οΈ Halafu nakimbia mbio kujificha 🀣.

Dah!

Zamani kwenye mapagala tulikuwa tunacheza kombolela hiyo 2.0, mnabadilishana nguo kumchanganya yule anayezinga...

Basi unaenda butua lile kopo, pira la kuzinga huku yeye kashakosea kusema kombolela fulani...unawaokoa wenzako
 
Dah!

Zamani kwenye mapagala tulikuwa tunacheza kombolela hiyo 2.0, mnabadilishana nguo kumchanganya yule anayezinga...

Basi unaenda butua lile kopo, pira la kuzinga huku yeye kashakosea kusema kombolela fulani...unawaokoa wenzako

Nishawahi kulia hadi kamasi kisa nazinga mara 4 watu wanaokoana tuu na mimi nataka kujificha...!πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…