No signal baada ya kuchange GPU, Nvidia Kwenda Ati Radeon

No signal baada ya kuchange GPU, Nvidia Kwenda Ati Radeon

the great wizard

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2015
Posts
1,482
Reaction score
894
Msaada wadau nina gpu ya nvidia inapiga kazi fresh but leo nimejaribu kuinstall gpu nyingine ya amd imezingua screen inaonesha no signal. So kama kuna uwezekano wa kufix hili tatizo naomba unisaidie. And computer inaonesha imewaka fresh tu no led blink on power button.
 
vp mkuu tayari au bado inazngua tu
 
Na mm niliwahi kuwa na tatizo Kama hili, nilimsukumizia bibie ahangaike nalo, ila sikuwahi muuliza alitatuaje! Ntakupa majibu nikikaa sawa
 
ukichange gpu usichomeke waya kwenye hio gpu, chomeka waya direct kwenye motherboard (pc) kisha washa pc halafu eka drivers za gpu mpya kisha ndio uzime pc na kuchomeka waya kwenye gpu na kuwasha tena.
 
msaada wadau nina gpu ya nvidia inapiga kazi fresh but leo nimejaribu kuinstall gpu nyingine ya amd imezingua screen inaonesha no signal
so kama kuna uwezekano wa kufix hili tatizo naomba unisaidie
and computer inaonesha imewaka fresh tu no led blink on power button
Download Drivers

Ingia hapo download driver catalyst install rudisha jibu
 
ukichange gpu usichomeke waya kwenye hio gpu, chomeka waya direct kwenye motherboard (pc) kisha washa pc halafu eka drivers za gpu mpya kisha ndio uzime pc na kuchomeka waya kwenye gpu na kuwasha tena.
sawa nitafanya hivyo
af kingine hii gpu ilikuja na high end pc flani ivi dell xps hio dell haina vga wala dvi port zaidi ya kutumia dedicated gpu yani haina integrated gpu
sasa je hii gpu haiwezi kuwa designed for hiyo dell only?
 
sawa nitafanya hivyo
af kingine hii gpu ilikuja na high end pc flani ivi dell xps hio dell haina vga wala dvi port zaidi ya kutumia dedicated gpu yani haina integrated gpu
sasa je hii gpu haiwezi kuwa designed for hiyo dell only?
hapana gpu ni gpu tu zitaitwa asus, evga, etc ila zinatoka kwa wale wale AmD na Nvidia. unless power supply yako haiwezi kuilisha umeme hio gpu ndio isifanye kazi.
 
hapana gpu ni gpu tu zitaitwa asus, evga, etc ila zinatoka kwa wale wale AmD na Nvidia. unless power supply yako haiwezi kuilisha umeme hio gpu ndio isifanye kazi.
Mkuu ebu nieleweshe ni kwanini intel amefail kwenye simu wakati ni mkali wa processor za pc
 
Msaada wadau nina gpu ya nvidia inapiga kazi fresh but leo nimejaribu kuinstall gpu nyingine ya amd imezingua screen inaonesha no signal. So kama kuna uwezekano wa kufix hili tatizo naomba unisaidie. And computer inaonesha imewaka fresh tu no led blink on power button.
Aisee mkuu Nvidia ni nzuri sana kwa games na applications Kali kama adobe irudishe kwa nn tatizo
 
Mkuu ebu nieleweshe ni kwanini intel amefail kwenye simu wakati ni mkali wa processor za pc
architechture tofauti mkuu

processor za pc ni x86
processor za simu ni arm

hii ni mifumo miwili tofauti, x86 zina nguvu kushinda arm lakini zinatumia sana umeme hivyo vifaa vyake havikai sana na charge.

pia unatakiwa ufahamu kwenye simu sio processor tu, inaitwa soc yaani ina mambo kibao zaidi ya processor. soc ina vitu kama
-processor
-gpu
-modem
-wifi
-blueotooth etc

hivyo qualcomm au mediatek anapowauzia watengeneza simu soc anakuwa hauzi tu processor bali complete package, intel hana hayo mambo mengine hivyo mtu akitumia cpu za intel inabidi mambo kama gpu modem na vitu vyengine akanunue mahala pengine hii inaweza sababisha vifaa kuongezeka bei. zamani intel alikuwa anawalipa watengenezaji vifaa hizo gharama zinazoongezeka ila siku hizi ameacha. unaweza google neno "contra revenue" kufahamu zaidi.

ila naona sasa hivi intel anatengeneza modem kwa ajili ya iphone mpya kama vile iphone 8 na x, na pia cpu zake zinaanza kuja na gpu za amd, hivyo pengine huko baadae na wao wakaja kuwa na soc nzuri.

sema intel si designer tu wa processor bali pia ana viwanda vya kutengenezea processor. na viwanda vyake vinatumia technology za hali ya juu ambazo viwanda vya samsung, global foundries na TSMC bado hawajaweza ifikia. sema viwanda vyake alikuwa anatumia tu yeye mwenyewe bila kuwatengenezea wenzake.

kuna mkataba mpya wa Arm na Intel, kwamba intel atakuwa ana manufacture processor za kampuni nyengine kama mediatek, qualcomm etc. bado hazijatoka ila tusubirie pengine zikawa nzuri kuliko zinazotengenezwa na kina samsung.
 
hapana gpu ni gpu tu zitaitwa asus, evga, etc ila zinatoka kwa wale wale AmD na Nvidia. unless power supply yako haiwezi kuilisha umeme hio gpu ndio isifanye kazi.
Nashukuru sana kwa uchambuzi wako....
Motorola naye si alikuwaga anatengeneza processor za pc nakumbuka alikuwa anatengeneza proessor za mac kabla apple hajahamia intel.
Bado motorola wanatengeneza processor mpaka leo?
 
Nashukuru sana kwa uchambuzi wako....
Motorola naye si alikuwaga anatengeneza processor za pc nakumbuka alikuwa anatengeneza proessor za mac kabla apple hajahamia intel.
Bado motorola wanatengeneza processor mpaka leo?
Motorola walihusika ila architechture haikuwa yao ilikuwa ni ya IBM, hizo processor zinaitwa power pc na mpaka leo zipo kwenye super computers nyingi tu zinashindana na intel xeon. IBM mwenyewe ndio anazi design.

pia zimetumika kwenye games console kama playstation 3, xbox 360, nintendo wii etc
 
hapana gpu ni gpu tu zitaitwa asus, evga, etc ila zinatoka kwa wale wale AmD na Nvidia. unless power supply yako haiwezi kuilisha umeme hio gpu ndio isifanye kazi.
Na ni wapi IBM alipojikwaa kwenye utengenezaji wa processors maana nikisoma historia ya personal comp inaelekea mwanzo yeye ndiye alikuwa kinara hadi ndio waliomuapproach gates sasa ilikuaje intel akampiku...
 
Na ni wapi IBM alipojikwaa kwenye utengenezaji wa processors maana nikisoma historia ya personal comp inaelekea mwanzo yeye ndiye alikuwa kinara hadi ndio waliomuapproach gates sasa ilikuaje intel akampiku...
dah mambo ya zamani sana sifahamu sana kusema ukweli

ila kuna mifumo miwili ya processor ninavyofahamu
-RISC (reduced instruction set computing)
-CISC (complex instruction set computing)

hii RISC yenyewe inafanya mambo simple ina emphasize kwenye software, inakuwa na code size kubwa kufanya jambo dogo mfano
-load x
-load y
-add x+y
-save x+y

CISC yenyewe inatumia code kidogo kukamilisha jambo ambalo Risc ametumia code kubwa mfano kwa juu hapo kwenye CISC inakuwa

-load x+Y save z

soma zaidi hapa
RISC vs. CISC

hivyo ukiangalia hapo juu Utaona CISC ina Advantage over RISC linapokuja kutengeneza ma software makubwa kama Adobe products, CAD softwares, Games kubwa etc sababu unafanya mambo mengi kwa ku code kidogo. nafkiri hapa ndio Intel alipompita IBM.
 
Msaada wadau nina gpu ya nvidia inapiga kazi fresh but leo nimejaribu kuinstall gpu nyingine ya amd imezingua screen inaonesha no signal. So kama kuna uwezekano wa kufix hili tatizo naomba unisaidie. And computer inaonesha imewaka fresh tu no led blink on power button.
Vp mkuu umefanikiwa hiyo ishu yako kama bado tatizo halijaisha nicheki 0625489620
 
Nina mashine nyingine i3 3.30 ghz 8gb ram

SASA kuna GPU
sasa kuna gpu
upload_2018-5-13_13-34-39.png

sasa kuna gpu nataka nunua AMD RADEON 7570 1GB DDR5
SWALI LANGU >> HII MASHINE POWER SUPPLY YAKE NI 275 WATTS ALAF GPU INATAKA 400 WATTS JE HIYO POWER SUPPLY ITAWEZA KUIPOWER HIYO GPU?
GPU HAIITAJI SIX PIN CONNECTOR
Cc Chief-Mkwawa
wise master
mathsjery
MKANDAHARI
Na wengine
 
Nina mashine nyingine i3 3.30 ghz 8gb ram

SASA kuna GPU
sasa kuna gpu View attachment 776576
sasa kuna gpu nataka nunua AMD RADEON 7570 1GB DDR5
SWALI LANGU >> HII MASHINE POWER SUPPLY YAKE NI 275 WATTS ALAF GPU INATAKA 400 WATTS JE HIYO POWER SUPPLY ITAWEZA KUIPOWER HIYO GPU?
GPU HAIITAJI SIX PIN CONNECTOR
Cc Chief-Mkwawa
wise master
mathsjery
MKANDAHARI
Na wengine
hio gpu inatumia watts 44 tu hivyo usiwe na wasiwasi maana hizo i3 nazo pia hazili sana umeme ni watts 65 tu. itakubali hio gpu.

ila hakikisha ni low profile gpu aka gpu inayodraw umeme kwenye motherboard na sio zile zinazohitaji extra cable toka kwenye power supply.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom