Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,886
- 828,468
"Kama WanaChadema tulitumia HAKI yetu kukishauri Chama chetu kupitia (waraka maarufu wa G55), lakini mpaka sasa ni wazi Chama hakijakubaliana na ushauri wetu. Katika Demokrasia kuna wengi wape, wachache wasikilizwe.
Ukifanya Fact-Check wengi wanasema kwa sasa twende na #NoReformsNoElection, sasa ni muda wa kuunganisha nguvu yetu katika #NoReformsNoElection.
Hivo basi nasihi tuendelee kuheshimu msimamo na mwelekeo wa chama kwa uaminifu na mapenzi yetu yote, adui yetu ni CCM" @VitusNkuna,
Ukifanya Fact-Check wengi wanasema kwa sasa twende na #NoReformsNoElection, sasa ni muda wa kuunganisha nguvu yetu katika #NoReformsNoElection.
Hivo basi nasihi tuendelee kuheshimu msimamo na mwelekeo wa chama kwa uaminifu na mapenzi yetu yote, adui yetu ni CCM" @VitusNkuna,