No FAP season two

haku
hakuna kitu kinachoshindikana chini ya jua
chochote kile kinawezekana
 
Tunatumia mbinu gani kutoboa kwenye hili na target ni kipindi gani?

Au kila mtu awe na malengo yake?
 
Tayari mmeanza tena😁
Tupo kupambana tena haijaisha mpaka iishe


Nimesoma comment before nilisaha kureplay pale yako ni kwel ulichosema..

Sijawai funga maisha yangu ila nimepanga kujaribu na pia nafanya meditation sio mara kwa mara...

Nimeona umesuggest muda wote nitajaribu hiyo...

Kuhusu Counting nataka niende kisayansi zaid... Maana after 45 days kwa nilivyosoma manii ndo zinakua zimekomaa so nianze kuwa prepared for Ndoto nyevu... Maana last time challenge kubwa ilikua hiyo relapse zikawa nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…