wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,131
Kwa wale wote walio katika harakati za kutafuta uhuru, ama uwe
- Siasa
- Mapenzi
- Maisha
- Utumwa
- Uonevu
- Tume huru
Ni mapambano tu, ama iwe kwa sala, maombi, elimu, vita, ushawishi n.k lazima ujitoe kuweza kutimiza malengo.
Hata Yesu alisema hakuja kuleta amani bali vita. Hii ni kwa kuwa alitaka watu watende mema na kuacha maovu. Wengi walionufaika kwa uovu, wizi, ufisadi hawakutaka kusikia.
Pia anasisitiza yeye hakuja kutengua torati bali kuitimiza.
Ni mwaka wa uchaguzi, no easy walk to election.
Jumapili njema.
Sent using Jamii Forums mobile app
- Siasa
- Mapenzi
- Maisha
- Utumwa
- Uonevu
- Tume huru
Ni mapambano tu, ama iwe kwa sala, maombi, elimu, vita, ushawishi n.k lazima ujitoe kuweza kutimiza malengo.
Hata Yesu alisema hakuja kuleta amani bali vita. Hii ni kwa kuwa alitaka watu watende mema na kuacha maovu. Wengi walionufaika kwa uovu, wizi, ufisadi hawakutaka kusikia.
Pia anasisitiza yeye hakuja kutengua torati bali kuitimiza.
Ni mwaka wa uchaguzi, no easy walk to election.
Jumapili njema.
Sent using Jamii Forums mobile app