Mkushi Da Gama
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 3,695
- 4,985
Tusisingizie BangiBangi sio mmea mzuri kabisa
Tusisingizie BangiBangi sio mmea mzuri kabisa
Kuna mmoja hivi alikuwa fundi pikipiki mitaa yetu alikuwa mtundu sana ,mala asimame huku pikipiki ikitembea mala,mala ageuke nyuma mala apige pushup akawa maarufu sana.
PolizeiKuna mmoja hivi alikuwa fundi pikipiki mitaa yetu alikuwa mtundu sana ,mala asimame huku pikipiki ikitembea mala,mala ageuke nyuma mala apige pushup akawa maarufu sana.
Taarifa ziliwafikia polizei wakaanza kumsaka,alipotea ghafla, alikuwa fundi mzuri sana sasa sijui kwa nini alikuwa anafanya hivyo vituko.Sijui alikuwa anapiga ile kitu.
hilo grp linatufunza nini? au alshabibi.! maana hapo umeniacha kiainaالأطباء في RAO HTC
الأطباء في RAO HTC
Ilo group lilikuwa Maalum kwa wanafunzi wanaochukua udaktar ktk chuo cha RAO.
Ila kwa sasa yoyote ktk waislaam awe JOIN ktk iyo group kupitia iyo link.
بارك الله فيكم