No case to answer"

No case to answer"

Nolle ikisemwa hakuna kupinga.
Maana aliyekushtaki ndio kaondoa mashtaka.

Ndio maana unaweza kufutiwa kesi . Askari Magereza wakakuachia. Alaf ukatoka nje ya mahakama, na Polisi wakakukamata wakakupeleka mahabusu zao na kukufungulia kesi nyingne.

Haya mashtaka sio ombi lako. Ni ww ni mshtakiwa.
Hiyo sheria ya kuviziana baada ya kesi kuisha ilishafutwa!
 
Hii tume ya Pili ikija na orodha ya watu waliohamasisha vurugu za Mo29 na jina lake likawepo.

DPP anafungua kesi na kuwasilisha ushahidi wa maandishi na Video kadhaa. Na mahakama ikamtia hatiani .
Akatangazwa ana kesi ya Uhaini.

sheria za Makosa ya Kimtandao zinasema hata kama umefanya ukiwa nje ya nchi. Kama madhara yametokea TZ. Basi una kesi ya Kujibu.
Pale hakuna uhaini. Yake yalikuwa mambo ya uchaguzi hakuna aliyepanga kupindua serikali. Uasi sio mchezo kama tunavyodhani. Hapo Mange labda uchochezi.
 
Nolle ikisemwa hakuna kupinga.
Maana aliyekushtaki ndio kaondoa mashtaka.

Ndio maana unaweza kufutiwa kesi . Askari Magereza wakakuachia. Alaf ukatoka nje ya mahakama, na Polisi wakakukamata wakakupeleka mahabusu zao na kukufungulia kesi nyingne.

Haya mashtaka sio ombi lako. Ni ww ni mshtakiwa.
Sheria ya wapi hiyo. Hayo mambo labda Uganda. Mkishafika kwenye proceedings mambo ya kukamatana hayapo. Mnakamatana mapema kabla proceedings hazijaanza.
 
Ipo! Kwa Tanzania hii wanaweza kumsubiria akitoka tu mahakamani au magereza wanamrejesha ndani kwa bambiko lingine!
Kwa kosa Gani?. Humkamati tu mtu. Maana kama uchochezi tayari kesi ipo mahakamani kisutu na alipewa dhamana. Ukamataji unafanyika pale ambapo mnaondoa charge ya zamani na kuanzisha charge mpya kabla proceedings hazijaanza. Ukishaweka nolle Ina maana umekubali yaishe kwenye uhaini.
 
Kwa kosa Gani?. Humkamati tu mtu. Maana kama uchochezi tayari kesi ipo mahakamani kisutu na alipewa dhamana. Ukamataji unafanyika pale ambapo mnaondoa charge ya zamani na kuanzisha charge mpya kabla proceedings hazijaanza. Ukishaweka nolle Ina maana umekubali yaishe kwenye uhaini.
Usiamini sana kusanyiko la wajinga!
 
Eeh hii "no case to answer" ni hatua ngumu sana kweli, mara nyingi huwa ni gamble ya utetezi lakini ikifanya kazi ni ushindi mkubwa sana mahakamani. no cap
 
Kwa kosa Gani?. Humkamati tu mtu. Maana kama uchochezi tayari kesi ipo mahakamani kisutu na alipewa dhamana. Ukamataji unafanyika pale ambapo mnaondoa charge ya zamani na kuanzisha charge mpya kabla proceedings hazijaanza. Ukishaweka nolle Ina maana umekubali yaishe kwenye uhaini.
Nolle ni kudrop charges.
Sio kwamba umeshinda au kushindwa.

Proceedings zinaweza kufika hadi hatua za mwisho na DPP akadrop charges.

kinachozuia DPP asianzishe kesi kama hiyo Hukumu.
Kesi ya Lissu kabla haijafika hukumu.
DPP anaweza kuishusha na kuipandisha tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom