okyo
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 2,003
- 1,508
atatoa hayo majina wakati wenzake wanatekeleza ilani na ahadi walizoahidi....nadhani alichaguliwa kwenda kuwapa watu majina
we ushapokea posho yako tayari???
atatoa hayo majina wakati wenzake wanatekeleza ilani na ahadi walizoahidi....nadhani alichaguliwa kwenda kuwapa watu majina
Adai wanaganga njaa kwenye siasa.
>. Asema wanalojua ni kung'oa kucha watu.
>. Laana ya damu kwenye operesheni zao inawatafuna.
>. -Wanataka madaraka kwa gharama yeyote.
>.Awataka wananchi kuwa macho nao.
Ameyasema hayo kweny mkutano mkubwa hadhara mjini Kilosa. Hata hivyo nashauri watu wajaribu kumvumilia nape, alifeli sana huyo, 'reasoning capacity is very low, approximately to zero' tunamkuza tunapojadili hoja zake, binafsi siamini kama nape anaweza kuwakilisha nchi kimataifa, huyo ni 'local figures in gutter politics'
Pia kusema hivyo ni sawa kwa maana ndiyo ajira yake inayomuweka mjini. Ulitaka aseme CDM inachukua nchi 2015 akose mshahara?
uwe na aibu jukwaani hapa..video ni ya lwakatare ile au hujaiona? Nenda youtube andika lwakatare au bukoba boy
nape bwana, anashirikiana na usalama wa taifa kung'oa kucha watu, halafu anawasingizia chadema! Kweli ccm ni janga kwa taifa letu!Adai wanaganga njaa kwenye siasa.
>. Asema wanalojua ni kung'oa kucha watu.
>. Laana ya damu kwenye operesheni zao inawatafuna.
>. -Wanataka madaraka kwa gharama yeyote.
>.Awataka wananchi kuwa macho nao.
Ameyasema hayo kweny mkutano mkubwa hadhara mjini Kilosa
We unadhani tabia za Mamako ndo tabia za kila Mama wa watu?Mhehe gani bogus hivyo...?U mnyalukwaleWewe baba yako ni nani?
Hebu rudi kijijini kwenu kamuangalie unaemuita baba kama mnafanana
Usitake kumuudhi mama yako mzazi bure manake yeye ndio anajua
Atachezea viwanja vya vumbi mnyika anapiga ktk red carpet na anampa dhaifu kila jina linalofaa.