mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,493
- 767
wanaume suruali tumekua wengi kweli......hat akwenye mambo ya msingi kama hayo mtu anashindwa kuyafanyia maamuzi baadae tukija kumpa wizara si anatumaige tu uyu..............mi staki bana aah!!
me nnampenda huyu mwingine ila mpnz wangu ananipenda sana
dawa ya tamaa yangu ni nn! Au ni tumbue wote nn[/QUOT
CONCENTRATE TO THE FIRST ONE UNAYEMPENDA. HUYO WAPILI ANAKUPENDA BUT HAIHUSU WEWE KUMPENDA ACHANA NAE. ANGALIA UPENDO WAKO, HAKUNAGA MAMBO YA KUPENDAPENDA WANAWAKE HOVYO, PENDA MMOJA SAKA PESA TULIENI NJENGE LIFE.
gud,taken
Achana na huyo usiyempenda, anza mapenzi na unayempenda. Usiwe na wawili kwa wakati mmoja.me nnampenda huyu mwingine ila mpnz wangu ananipenda sana