Nna laki 120 nataka kitanda cha chuma mwanza size 4×6

Nna laki 120 nataka kitanda cha chuma mwanza size 4×6

Sigara Kali

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2017
Posts
3,711
Reaction score
8,767
Kama topic inavyojieleza
Kama upo mwanza wee ni fundi welding nataka kitanda cha chuma cha ukubwa wa 4×6 njoo PM tufanye biashara
 
W end inakaribia ni pesa ndogo hiyo Kwa kitanda tembea mwendo wa BALIMI na nyama choma ya kitanda utapata nunua godoro tanguliza mkeka chini
 
Acha kukatisha wenzio tamaa,aweza tengezewa kwa chuma zinazobaki workshop si lazima fundi akwende kwa duka.
 
duh una LAKI 120,
umeishia darasa la ngapi mkuu?
 
Kwa hiyo hela sidhani kama unaweza pata mkuu.
 
Kama topic inavyojieleza
Kama upo mwanza wee ni fundi welding nataka kitanda cha chuma cha ukubwa wa 4×6 njoo PM tufanye biashara
Leseni ya pombe Kali ulishapata? Kiwanja hapo mwanza ulishapata pia?

Passion
 
laki 1 = 100,0000
laki 120= 120 x 100,000= 12,000,000

labda ulimaanisha laki 1 na 20 kwa sababu unazungumzia kitanda hata na hivyo huwezi kupata kitanda cha chuma kwa 120,000/=
 
Me nina 150 naweza ongeza mwenye kitanda cha chuma aje
 
Acha kukatisha wenzio tamaa,aweza tengezewa kwa chuma zinazobaki workshop si lazima fundi akwende kwa duka.
[emoji4] [emoji4] [emoji1] kitanda kitakua na manundu ya joint kila baada ya sm.20
 
Back
Top Bottom