Nmefaham Kumbe Yanga hawakwenda Kujifua Uturuki!

Hivi hatuwezi kutoa tathmini ya jambo mpaka tuelekezwe na waandishi wa habari ambao tayari ni washabiki wa timu fulani? Kuweka kambi ni jambo zuri, maana timu inapata wasaa kuwa na wachezaji wake muda wote, kadhalika wao kuwa pamoja muda wote. Kwa hivyo akili yao yote inakuwa kwenye mpira, tofauti na wanapotokea vijiweni. Kila kambi ikiwa na huduma muhimu, ikiwa mbali zaidi na wanakotokea wachezaji, ikiwa ya muda mrefu zaidi, n.k. ndio bora zaidi. Kucheza ama kutocheza mechi za kirafiki si lazima, wala matokeo ya mechi hizo hayawi kigezo cha mafanikio ya kambi hiyo. Mwalimu na dawati lake la ufundi ndiye anayejua iwapo kambi hiyo imefikia matarajio yake.
Bila ya kuingiza ushabiki, kambi ya yanga ina mazingira bora, iko mbali na nyumbani na wana muda mzuri kabla ya ligi. Kasoro pekee ni tofauti ya mazingira, hasa hali ya hewa baina ya huko na huku. Lakini hilo haliwezi kuwa tatizo kwa sababu wachezaji wenyewe wameshaozowea hali ya hewa ya kwao. Swala la mechi za kirafiki si muhimu. Mbona wapenzi wa timu za Ligi Kuu hawazinangi timu zao zinapoweka kambi, kufanya ziara na kucheza mechi za kirafiki na nchi/timu vibonde za China, Thailand, Hong Kong na kwingineko? Waalimu huwa wana kitu wanatafuta, sio kushindana nani kamfunga yupi mangapi.

Tuwe realistic, siungi mkono kwa stardanrd na financial ca[acity ya timu zetu iwe simba, yanga hata hap Cpastal walioko Oman, lets be very objective here;

  1. Kulikua na haja gani kwenda mbali kote huko (something hidden!!??)-tumetoka kuambiwa licha ya kuongoza kwa mapato lakn Yanga imu inaendeshwa kwa hasara
  2. Hapo kwa Mwalimu yupi? HIVI INAINGIA AKILINI KWELI KWAMBA TIMU INAENDA KUWEKA KAMBI BILA MWALIMU? (definitely naamini hatuta argue uwepo wa Boniface)
  3. Hiyo uliyoweka kama kasoro ndiyo inafilisi hoja nzima, kuweka kambi mahali unatakiwa uwe very objective as well, why kuweka kambi mahali ambapo huenda hali yake ya hewa itaswihi mechi moja tu na Mbeya City? (oooooooppsss...nimesahau kumbereturn leg ya mechi hiyo inafanyikia Dar) na hata kama ni kwa ajili ya wacomoro bado haingii akilini
  4. Nashawishika kuamini kwamba kuna kitu zaidi ya mazoezi wamefuata huko- hii iliwahi kutokea hata kwa Simba walipoenda Nice
 
yangaa.jpg

kweli aisee, hebu cheki mwenyewe;
Wamecheza na wapishi na leo wanacheza na tax drivers

Source: youngafricans.co.tz
 
Tuwe realistic, siungi mkono kwa stardanrd na financial ca[acity ya timu zetu iwe simba, yanga hata hap Cpastal walioko Oman, lets be very objective here;

  1. Kulikua na haja gani kwenda mbali kote huko (something hidden!!??)-tumetoka kuambiwa licha ya kuongoza kwa mapato lakn Yanga imu inaendeshwa kwa hasara
  2. Hapo kwa Mwalimu yupi? HIVI INAINGIA AKILINI KWELI KWAMBA TIMU INAENDA KUWEKA KAMBI BILA MWALIMU? (definitely naamini hatuta argue uwepo wa Boniface)
  3. Hiyo uliyoweka kama kasoro ndiyo inafilisi hoja nzima, kuweka kambi mahali unatakiwa uwe very objective as well, why kuweka kambi mahali ambapo huenda hali yake ya hewa itaswihi mechi moja tu na Mbeya City? (oooooooppsss...nimesahau kumbereturn leg ya mechi hiyo inafanyikia Dar) na hata kama ni kwa ajili ya wacomoro bado haingii akilini
  4. Nashawishika kuamini kwamba kuna kitu zaidi ya mazoezi wamefuata huko- hii iliwahi kutokea hata kwa Simba walipoenda Nice
Ningekubaliana nawe, ila tutakuwa tunaongea vitu tofauti, baina ya kambi na uendeshaji wa timu. Kama Yanga inayoingiza watazamaji wengi inaendeshwa kwa hasara, ni timu ipi inayoendeshwa kwa faida? Wengi watasema Azam. Lakini hata Azam haiendeshwi kwa faida. Kinachojenga Azam Complex, kununua wachezaji, vifaa, usafiri, n.k kwa Azam si faida ya kuuza wachezaji, mapato ya milangoni au udhamini. Ni fedha ya mwenye timu. Kinachofanyika sasa Azam ni uwekezaji. Kadhalika Kagera Sugar, n.k. zote haziendeshwi kibiashara au kitaalamu. Hilo ndio kosa la msingi. Kwa hivyo kinaachofuata juu yake, owe uajiri wa waalimu, usajili, kuweka kambi, n.k kitakuwa ni makosa tu. Ndio maana nalaumu waandishi wa habari kwa kutoanzia huko, na badala yake wakaishia kulaani au kusifu tu kwa mujibu wa ushabiki wao, kama vile hili kosa la msingi halipo, au lipo kwa baadhi ya timu tu. Kwa ufupi, ukiondoa tatizo la msingi la ukosefu wa mfumo ambalo timu zote lonalo, kuweka kambi hakupaswi kutathminiwa kwa aina na matokeo ua mechi za kirafiki zinazochezwa.
 
Hizi ni baadh ya team kubwa za uturuki.Galatasaray,fenerbahce na besiktas. Yanga mmecheza na Team gan? Maana hamchelew kucheza na ashant ya kule halaf mkapamba kwenye magazet ya Bongo ' Yanga yatisha' Yanga kama Barcelona' Yanga hawashikiki' n.k kumbe mmecheza na Kisebengo Sports Club. Maana mpira wenu mnachezea kwenye magazet na TV sana hapa Bongo. sijui kama dr mwakyembe alikuwepo airport kuwasindikiza watanzania wenzetu hawa

Simba koko mbona mna mambo mengi tu ya kuendeleza klabu yenu, ya Yanga yanawauma kwa nini? Yanga haipangi program zake kuwafurahisha ninyi. Kama unadhani utakwenda uingereza ukacheza na Wigan Athletics ukajiona hujafanya mazoezi, basi wewe si mtu wa mpira, kashangilie kina Cheka.
 
Amavubi & Co. PLC jibuni maswali haya:
1. Unamfahamu Shomari Kapombe?
2. Ni mchezaji wa timu gani hapa Bongo?
3. Timu yake iko ligi gani? Ni timu kubwa au la?
4. Hivi sasa yuko nchi gani huko Ulaya? Anakipiga na timu ya daraja la ngapi?
5. Kwa nini hajaenda Arsenal au hata Man U zilizo PL kama timu yake?
 
Last edited by a moderator:
Hizi ni baadh ya team kubwa za uturuki.Galatasaray,fenerbahce na besiktas. Yanga mmecheza na Team gan? Maana hamchelew kucheza na ashant ya kule halaf mkapamba kwenye magazet ya Bongo ' Yanga yatisha' Yanga kama Barcelona' Yanga hawashikiki' n.k kumbe mmecheza na Kisebengo Sports Club. Maana mpira wenu mnachezea kwenye magazet na TV sana hapa Bongo. sijui kama dr mwakyembe alikuwepo airport kuwasindikiza watanzania wenzetu hawa

Nilidhani utatumia google kujua undani wa timu iliyocheza na Yanga lakini unaropoka tu bila hoja za msingi.
Ingekuwa Simba wameenda Uarabuni hizi kelele tusingesikia. Au kwenye google lugha imegoma?
 
Nilidhani utatumia google kujua undani wa timu iliyocheza na Yanga lakini unaropoka tu bila hoja za msingi.
Ingekuwa Simba wameenda Uarabuni hizi kelele tusingesikia. Au kwenye google lugha imegoma?

Nikiwa mtaani nilikutana na Njagu akaniuliza 'unamfahamu Chizi Maarifa?', nikamwambia simfahamu, njagu akasema ana RB anamtafuta amrejeshe Mirembe alikotoroka.
 
Last edited by a moderator:
Si wachezaji wote kama unavyotaka tuamini!Isipokuwa wachezaji wa Yanga wanabweteshwa na tabia na matajiri wao kununua mechi.Hivi sasa yanga wanacheza magazetini sana.Utasikia jinsi wanavyosifiwa ni kama tu inavyotokea kwa ccm ambao hatimae hata wakiiba kura ile kubebwa kwao na vyombo vya habari kunawapumbaza washabiki.Hivi sasa utasikia tu yanga inacheza kama ulaya!mara wanamtaka coach aliyemuibua van Persie.Sasa wakimpata utasikia kelele za magazeti as if wamechukua ubingwa Afrika.Yetu macho siku wakinyolewa tena na mnyama sijui huyu aliyemwibua van Persie mtafukuza kwa sababu gani tena

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Nyie wabongo fitina sana hasa nyie wafuasi wa Elshababu.Tokeni povu wenzenu wanakula bata uturuki.Na wakirudi mshiko kibao na shavu linang'aa nyie mnatoka sembe kichwani.
 
Si wachezaji wote kama unavyotaka tuamini!Isipokuwa wachezaji wa Yanga wanabweteshwa na tabia na matajiri wao kununua mechi.Hivi sasa yanga wanacheza magazetini sana.Utasikia jinsi wanavyosifiwa ni kama tu inavyotokea kwa ccm ambao hatimae hata wakiiba kura ile kubebwa kwao na vyombo vya habari kunawapumbaza washabiki.Hivi sasa utasikia tu yanga inacheza kama ulaya!mara wanamtaka coach aliyemuibua van Persie.Sasa wakimpata utasikia kelele za magazeti as if wamechukua ubingwa Afrika.Yetu macho siku wakinyolewa tena na mnyama sijui huyu aliyemwibua van Persie mtafukuza kwa sababu gani tena

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums



Narudia tena. Wachezaji wote wa Simba na Yanga ni wachawi na ndiyo hawafundishiki.
 
Mkuu Makoye Matale, haya mawsali yana mada yake humu imesheheni majibu
Amavubi & Co. PLC jibuni maswali haya:
1. Unamfahamu Shomari Kapombe?
2. Ni mchezaji wa timu gani hapa Bongo?
3. Timu yake iko ligi gani? Ni timu kubwa au la?
4. Hivi sasa yuko nchi gani huko Ulaya? Anakipiga na timu ya daraja la ngapi?
5. Kwa nini hajaenda Arsenal au hata Man U zilizo PL kama timu yake?
 
Kwale hapa panahitaji ufafanuzi...!

Hivi Kwa wapenzi wa simba yetu vipi kesi ya aliye kuwa mfadhili wetu H.Hasanoo yule aliyekamatwa na container la , kesi bado inaendelea au ndio imeisha? Maana tusiwaseme wenzetu yanga wakati kwetu nako tumeoza.
 

Attachments

  • 1389768272241.jpg
    1389768272241.jpg
    43.5 KB · Views: 105
Amavubi & Co. PLC jibuni maswali haya:
1. Unamfahamu Shomari Kapombe?
2. Ni mchezaji wa timu gani hapa Bongo?
3. Timu yake iko ligi gani? Ni timu kubwa au la?
4. Hivi sasa yuko nchi gani huko Ulaya? Anakipiga na timu ya daraja la ngapi?
5. Kwa nini hajaenda Arsenal au hata Man U zilizo PL kama timu yake?

kwa maswali haya ni wazi kwamba yanga imekutana na Vilaza wenzao, wa daraja la chini, so tusiwalaumu kwani wanahitaji faraja ingawa ni ujinga mtoto wa darasa la saba kukimbia mtihani wa mwisho kisa alishndwa mock exam! So kujifariji anakwenda kufanya mtihani wa na watoto wa darasa lapili ili nafsi isuuzike machungu yapone! Kiukweli hapo yanga haijijengi ni bora wagharimie wacheze na vigogo wa soka wa uturuki ili wajifunze mengi coz hao wa chin nao wanatamani siku wachezee timu kubwa!!!!!! Mnyama atawafaidi tena msipobadilika.
 
Last edited by a moderator:
kwa maswali haya ni wazi kwamba yanga imekutana na Vilaza wenzao, wa daraja la chini, so tusiwalaumu kwani wanahitaji faraja ingawa ni ujinga mtoto wa darasa la saba kukimbia mtihani wa mwisho kisa alishndwa mock exam! So kujifariji anakwenda kufanya mtihani wa na watoto wa darasa lapili ili nafsi isuuzike machungu yapone! Kiukweli hapo yanga haijijengi ni bora wagharimie wacheze na vigogo wa soka wa uturuki ili wajifunze mengi coz hao wa chin nao wanatamani siku wachezee timu kubwa!!!!!! Mnyama atawafaidi tena msipobadilika.
Kukosa ufadhili wa malkia wa Nyuki safari hii kuwapeleka Oman imewauma sana, mbona mwaka jana hakuyasema yote haya!
 
Kidonda hupona lakini katu yako makovu yasiyofutika kwa wanajangwani hasa kipigo cha tano bila marat tatu moja, richa ya kuwa na timu nzuri na kiu ya kurudisha kipigo cha mbwa mwizi tena koko!! Ambaye richa ya matunzo ya jangwani na kupewa kila kitu anatoa mauzi tu kwa mashabiki, karibu nchumba etu yanga mwaka huu ntamalizia posa!!! Nasikia mtu anaimba ahaa kumbe ni mnyama "nataka niwe nawe milele aa nataka nikupe tano zingne mpaka ufukuze makochaaa zile tano mwaka zilopitaa najua zinakuuma, baby usikimbie mwenzio cjatosheka nataka nikufumue hata kumi ukimbie mi sio mtan wako kwanzia leo utambue wewe ni kibondeee
 
Poleni mimi mara mwisho kwenda uwanja wa Taifa ilikuwa mechi kati ya simba na Stella Abidjan niliona mbali!!!
 
mmmmmmmhhhhhhhhhhh nasoma tu langu jicho dole gumba na touch ya simu yangu..
 
Back
Top Bottom