Nmechaguliwa UDOM educaton lakin siipend

Nmechaguliwa UDOM educaton lakin siipend

samahan wadau mimi nmechaguliwa udom education lakin siipend nmben ushaur wa coz zngne au namna nyngne

Unaijua Udom wewe au unasikia maneno ya mitandaoni ? , ni chuo kizuri kuanzia mazingira mpaka taaluma , Nina uhakika ukifika Udom hautajuta kama kuhama ndani ya udom kwenda kozi unayoipenda inawezekana kabisa
 
Unaijua Udom wewe au unasikia maneno ya mitandaoni ? , ni chuo kizuri kuanzia mazingira mpaka taaluma , Nina uhakika ukifika Udom hautajuta kama kuhama ndani ya udom kwenda kozi unayoipenda inawezekana kabisa
Hapendi course ya education mkuu sio chuo
 
sikushauri ukapoteze miaka mitatu bure.... course yenyewe education ? huoni wenzio wako bench tangia 2015? na mpaka sasa hawaijui hatma yao ? tumia ubongo kufikiria na sio makalio....
 
Kwa kuwa utaratibu unataka uchague kozi zisizopungua 5 kwa kujaza kwa vipaumbele, na wewe ukaingia mkenge ukachagua kozi 5 wakati zingine huzitaki...siku nyingine chagua kozi hata kama ni 3 ambazo unazipenda alafu hizo 2 hujazi kwa kuwa sio mtihani (alafu unasubiri kwanza kisha ukiona hujachaguliwa ndio unarudi kwenye chaguzi hizo ambazo huzipendi)
 
Akili za watoto wengine bana kwa hyo hicho kimekufanya uje ufungue thread huku kwani wakati wa kuchagua kozi we ulikuwa wapi
 
Kuna kipindi hata hujui watu wanataka Nini,wengine wanalalamika hawajapata vyuo wengine wamepata Lakini hawataki kozi,Duuuu
 
Kwa kuwa utaratibu unataka uchague kozi zisizopungua 5 kwa kujaza kwa vipaumbele, na wewe ukaingia mkenge ukachagua kozi 5 wakati zingine huzitaki...siku nyingine chagua kozi hata kama ni 3 ambazo unazipenda alafu hizo 2 hujazi kwa kuwa sio mtihani (alafu unasubiri kwanza kisha ukiona hujachaguliwa ndio unarudi kwenye chaguzi hizo ambazo huzipendi)
Kwa kuwa utaratibu unataka uchague kozi zisizopungua 5 kwa kujaza kwa vipaumbele, na wewe ukaingia mkenge ukachagua kozi 5 wakati zingine huzitaki...siku nyingine chagua kozi hata kama ni 3 ambazo unazipenda alafu hizo 2 hujazi kwa kuwa sio mtihani (alafu unasubiri kwanza kisha ukiona hujachaguliwa ndio unarudi kwenye chaguzi hizo ambazo huzipendi)
nlifanya ivo nlipokosa nkaona nijaze ivo tuu
 
Back
Top Bottom