Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,898
Jana baada ya mkutano wa kumbukumbu ya mashujaa pale NMC alilazwa hospitali,Taarifa kutoka kwa mtu aliyekaribu naye zinasema aliruhusiwakutoka hospitali jana hiyohiyo usiku.hivi sasa anaendelea vizuri.