DOTHRAK
Member
- May 22, 2021
- 15
- 154
Habari wakuu?
Nina kama miezi miwili sasa tangu nisajili laini yangu ya Tigo. Kuna jumbe zinaingia katika simu zangu kutoka NMB ya kwamba nimefanikisha kuweka pesa hali ya kuwa sijafanya kitu kama hicho na wala laini hiyo sijaiunga na huduma yoyote ya kibenki zaidi na zaidi ina Tigo pesa tu.
Shida itakuwa wapi hapa?
Nina kama miezi miwili sasa tangu nisajili laini yangu ya Tigo. Kuna jumbe zinaingia katika simu zangu kutoka NMB ya kwamba nimefanikisha kuweka pesa hali ya kuwa sijafanya kitu kama hicho na wala laini hiyo sijaiunga na huduma yoyote ya kibenki zaidi na zaidi ina Tigo pesa tu.
Shida itakuwa wapi hapa?