Habari wana jf. Leo ni siku ya tatu tangu nimetumiwa pesa kwanjia ya NMB pesa fasta. Tangu juzi system inaniambia subiri huduma inashugulikiwa na hakuna kinachoendelea mpaka inajirudi mwanzo. Nimejaribu kuwaona wahudumu wakaniambia network ipo chini. Nikamrushia jamaa yangu alieko mkoani ajaribu naye kakutana na yaleyale. So mpaka leo cjafanikiwa kutoa hiyo pesa. Mwana jf yeyote mwenye uzoefu na taarifa ya NMB pesafasta naomba anijuze.