NMB Nyumba Day Event - Dodoma


Asante kwa ushauri wako ndugu Jacob na tutaufanyia kazi,
Karibu upate mkopo wa Nyumba
 
Nyie NMB acheni uzushi,wafanyakazi wenu tu mnawanyima mikopo ya Nyumba! Mnazidiwa na Benki ya Crdb! Anzeni na wafanyakazi wenu tuone kama sisi Walimu tutaweza kukopa. Au mikopo ya matajiri?
 
Nyumba yangu inahitaji kama m12 tu kukamilika ,ntapataje mkopohuo
 
Asante sana
 
Mbona nimeingia kwenye hiyo Loan calculator yenu nimejaza kila kitu lkn kila nikituma hiyo message inanitaka nirudie nimerudia zaidi na zaidi hadi nimechoka
 
Mbona nimeingia kwenye hiyo Loan calculator yenu nimejaza kila kitu lkn kila nikituma hiyo message inanitaka nirudie nimerudia zaidi na zaidi hadi nimechoka

Ukijaza kila kitu ukabofya calculate taarifa za majibu ya ulichojaza yanakuja upande wa kulia ( kwa PC ) au kwa chini kama unatumia simu.
Karibu sana
 
MTU mwenye mshahara au kipato cha marejesho ya shingap kwa mwez ndio anaweza kupata mkopo wa nyumba kama hyo
 
Sory....mtaweka wadada wenye matako makubwa?
 
Tunafanyaje wengine ambao tutakuwa kwenye kuwajibika na tukakosa wasaa wa kufika huko
 
Acheni uongo nyie NMB


Nilikuja kwenye Bank yenu tawi la Sinza-Mori mkanijibu hamtoi mkopo kwa collateral ya office au kwasababu mliniona sina hadhi ya kukopa

Nashangaa hapa mnakuja na vigezo vya salary slip, huu ni utani . Halafu nashangaa zaidi unasema tufike ofisini kwenu kuonana na wataalamu. Wataalamu gani ? Wale walionijibu kuwa hakuna mkopo Wa aina hiyo au wapo wengine.



Niseme tu Hakikisheni mnakuwa na majibu uniform sio wale Wa NMB sinza Mori wanajibujibu tu.
 
Mkuu, wewe uliomba mkopo gani exactly maana unaweza kukuta unalaumu kumbe hamkuelewana tu na afisa mikopo
 
Yoote mazuri sana mliyotufanyia ila funga kazi tu ni saraly advance bigup sana nmb
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…