Habari hata haielewiki. Hiyo Kenyatta Road utadhani ipo humu jf... nadhani ni Mwanza unaongeleanimepita apo nmb naona ofisi zimefungwa na polisi wengi
je wazee wa kazi wameshachukua mavuba?
Nasubiri kutoka kwako jirani!Ngoja niende hapo sasa hivi nitaleta mrejesho.
Yaani hapa nina wateja wamenizunguka, wakipungua kama sio kuisha natia timu hapoNasubiri kutoka kwako jirani!
Eeeee! bhebhe naho, mda wote huo wawe wanakusubiri wewe!Yaani hapa nina wateja wamenizunguka, wakipungua kama sio kuisha natia timu hapo
hahaahha, jirani nashindwa kutoka muda huu, si unajua ajira za Magufuli, nisije nikapoteza kitumbua changu kwa kosa la kukimbilia udaku. hahahahahahahahhahaEeeee! bhebhe naho, mda wote huo wawe wanakusubiri wewe!
Wahi fasta kuna zilizodkndoka dondoka chini. Kibao wenzio wanajichoteaYaani hapa nina wateja wamenizunguka, wakipungua kama sio kuisha natia timu hapo
hahahahah, hapo unaweza kulambwa risasi ya makalio, uwiiiiiiiiiiiiiWahi fasta kuna zilizodkndoka dondoka chini. Kibao wenzio wanajichotea
si ungewauliza polisi mkuu?yes ni mwanza mkuu
Raia wanaenda Kama Nani, Kama waokoaji au na wao wanahitaji sehemu ya mnyang'anyiKuna Majaribio ya Mwitikio wa raia endapo kutatokea uvamizi.
Nyie ndio mnao twangwaga shaba....kipuuzi hujui hatari ikoje unakimbilia...Yaani hapa nina wateja wamenizunguka, wakipungua kama sio kuisha natia timu hapo
hivi eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeNyie ndio mnao twangwaga shaba....kipuuzi hujui hatari ikoje unakimbilia...
Usisahau kuwapiga kapicha wakiwa wanakia huo mpungaEeeee! bhebhe naho, mda wote huo wawe wanakusubiri wewe!