Mkuu naona unatoa shutuma kwa kupata changamoto peke ako.
Mimi nusu saa iliyopita nimenunua luku kupitia app yao.
Jion kama saa 12 hivi nimegonga miamala.
Usikute destination ndo shida. Lakini pamoja na hayo tupo dunia ya 3 hizi benk zinategema network providers, ama partneship za kibiashara kama hivyo tigo, voda n.k
Tuwe wavumilivu ama kuwa na mbadala kutatua changamoto zetu. Tusibakie kulalama tu wakati tunaweza kuwa na utatuzi wenyewe.
Hizi kampuni zinahitaji sana hela zetu ili zipate faida, hivyo usitarajie zikaacha hizo changamoto.
Mfano tu kutokuwa hewani unajua ni pesa ngapi zinatopotea kwao kama income?
Hawa tigo, voda ni mara ngapi wanakuwa hawapo hewani, unadhani wanapenda kuendelea kukusanya hela zetu.
Nilichojifunza ni kuwa mvumilivu inapobidi, lakini kutokutgemea huduma ya aina moja kuipata sehemu moja tu.
Pole sana.