SUPER PREDATOR
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 2,093
- 725
Kati ya wabunge ambao sikutegemea kabisa kwamba watarudi Bungeni ni Ally kessy mbunge wa Nkansi lakini cha kushangaza ameshinda kwa ushindi wa Tsunami.
Kunaitwa Nkasi! Makao Makuu Namanyere!Kati ya wabunge ambao sikutegemea kabisa kwamba watarudi bungeni ni kessy mbunge wa nkansi lakini cha kushangaza ameshinda kwa ushindi wa tsunami, mweeeeeeee wafipa mweeeee
Kunaitwa Nkasi! Makao Makuu Namanyere!
Mwaatuliii!
Kaaazi kweli kweeeeli
Kati ya wabunge ambao sikutegemea kabisa kwamba watarudi bungeni ni kessy mbunge wa nkansi lakini cha kushangaza ameshinda kwa ushindi wa tsunami, mweeeeeeee wafipa mweeeee
kitu gani ambacho kilikufanya usihihsi kama atarudiKati ya wabunge ambao sikutegemea kabisa kwamba watarudi bungeni ni kessy mbunge wa nkansi lakini cha kushangaza ameshinda kwa ushindi wa tsunami, mweeeeeeee wafipa mweeeee
Chama gani uyo mkuu
kitu gani ambacho kilikufanya usihihsi kama atarudi
Ccm mkuu
Sio fuata upepo kama mijiitu ya kaskazini
Kessy ni mbunge pekee anayenifurahisha kila anaposimama kuchangia hoja.
Huyu mzee anavisa na wazanzibar mpaka utafurahi kuparuana na wabunge wazenji
huyu ni miongoni mwa wabunge ninaowahusudu sio mnafiki na hajali kuwafuraisha au kuwaudhi watu kwanza alikuwa upinzani ana msimamo wa kipekee na ametanguliza maslahi ya taifa kwanza
Hao nao ndio wale wale Wilaya INA miaka30 haina maendeleo sio ya mji wala binadamu Nyumba za nyasi mpaka katikati ya mji wangemtangaza huyo kessy Chifu wao badala ya mbunge
Ali Kessy, ni mtu wa msaada sana kwa watu wa Namanyere na Nkasi kwa ujumla wake tangu kuanzishwa kwa wilaya ile. Ndiyo maana wananchi wake wanamkubali. Binafsi nimeshuhudia mchango wake wa hali na mali tangu wilaya ikiwa inaanza. Ni muwazi na hana unafiki. BINAFSI NINAMKUBALI NA ANAWAFAA WATU WA NKASI ENDAPO WAMEMPA KURA AWAONGOZE.