Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,232
- 113,610
Umewahi kuwa na njozi (fantasy) juu ya mke au mume wa rafiki yako? Kuna rafiki yangu ana mke bomba sana na kila mara huwaga namuwaza kwenye njozi zangu kuwa siku nikimpata huyu...atanikoma. Saa ingine huwa nawaza sijui ana ladha gani huyu?
Am I sick or what?
Am I sick or what?