Ngareroo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2019
- 2,049
- 2,249
Wasaalam wakubwa..I hope mko poa..Here we go,,Kama wiki hivi imepita Kuna albums kubwa mbili zimetoka duniani, Nazungumzia Donda ya Kanye West iliyotoka August 29/2021 pamoja na Certified Lover Boy (CLB) ya Drake iliyotoka September 3/2021...
Albums zote mbili nishamalizana nazo kuziskiliza na zote ziko fire sana..Kwenye CLB ngoma zilizozidi ukali kwangu ni In the Bible akiwa na Lil Durk, Fountains aliyomshirikisha M'nigeria Tems,Too sexy akiwapa shavu Future na Young Thug, Fair trade aliyomweka Travis Scott na Girls want girls akiwa na Lil Baby.. Kwa upande wa Donda nimezielewa zaidi Believe what I say na Hurricane na zingine...
Sasa katika pitapita zangu kwenye mitandao mbalimbali nikakutana na tweet Kuna Chalii anasema "Kanye Anaweza Kutengeneza CLB ila Drake hawezi Kutengeneza Donda" Kwa upande wangu hayupo sahihi Lakini yupo sahihi pia it depends kamaanisha katika contexts/Mazingira yapi..Kwanini??..Nianze na Usahihi wake, Kanye mwaka 2004 alikua maarufu tayari sio kwa kuimba bali kwa kuprodyuza ngoma, Kanye ni Rapper, Producer,Songwriter, Singer Lakini pia ni Mvumbuzi wa Rap sung/sing ,,Ukiiskiliza CLB ni genre ya Rap sung/sing ambayo Kanye ni Mvumbuzi wake na Utayarishaji wa CLB kama walivofanya kina Metro Boomin' Anaweza kuufanya pia..
Lakini kusema Drake hawezi kufanya Donda kwa mantiki ya Donda ni kubwa mnoo kuzidi CLB nakataa asee..Dreeze anauwezo mkubwa sana wa Kutengeneza album Kali kuliko msanii yeyote duniani kwa sasa,,Ntatoa mfano,Mwaka 2018 alitoa album yake ya Scorpion, Records nyingi alizoziweka kwenye album ile amekuja kuzivunja yeye mwenyewe kwenye CLB, Records hizo ni siku ya kwanza tu Scorpion ilipata streams zaidi ya Million 132 kwenye Spotify,, Lakini Kanye baada ya kutoa album yake amekua msanii wapili,sio kaivunja record ya Drake ila ni wapili pamoja na kufanyiwa listening party sehemu tatu tofauti na promotion nyingi Mara afute verses za wakali kama DaBaby,Chris Brown nk. Lakini hajaifikia Scorpion, Lakini Drake katoa CLB kaivunja record yake mwenyewe ya kuskilizwa zaidi ndani ya siku moja kwenye streams services, Na kaivunja hiyo record ndani ya masaa10 tu...
Kwahiyo huyu chalii wa Twitter yuko sahihi na yuko wrong pia ni kutokana tu na yeye atajitetea vipi au atasimamia upande upi??..Tuache tabia ya kumchukulia poa The Champaignpapi huyu katoka sayari nyingine...
Karibuni Tujadili hili Wadau
@NgarenaroBoy
View attachment 1931950
Albums zote mbili nishamalizana nazo kuziskiliza na zote ziko fire sana..Kwenye CLB ngoma zilizozidi ukali kwangu ni In the Bible akiwa na Lil Durk, Fountains aliyomshirikisha M'nigeria Tems,Too sexy akiwapa shavu Future na Young Thug, Fair trade aliyomweka Travis Scott na Girls want girls akiwa na Lil Baby.. Kwa upande wa Donda nimezielewa zaidi Believe what I say na Hurricane na zingine...
Sasa katika pitapita zangu kwenye mitandao mbalimbali nikakutana na tweet Kuna Chalii anasema "Kanye Anaweza Kutengeneza CLB ila Drake hawezi Kutengeneza Donda" Kwa upande wangu hayupo sahihi Lakini yupo sahihi pia it depends kamaanisha katika contexts/Mazingira yapi..Kwanini??..Nianze na Usahihi wake, Kanye mwaka 2004 alikua maarufu tayari sio kwa kuimba bali kwa kuprodyuza ngoma, Kanye ni Rapper, Producer,Songwriter, Singer Lakini pia ni Mvumbuzi wa Rap sung/sing ,,Ukiiskiliza CLB ni genre ya Rap sung/sing ambayo Kanye ni Mvumbuzi wake na Utayarishaji wa CLB kama walivofanya kina Metro Boomin' Anaweza kuufanya pia..
Lakini kusema Drake hawezi kufanya Donda kwa mantiki ya Donda ni kubwa mnoo kuzidi CLB nakataa asee..Dreeze anauwezo mkubwa sana wa Kutengeneza album Kali kuliko msanii yeyote duniani kwa sasa,,Ntatoa mfano,Mwaka 2018 alitoa album yake ya Scorpion, Records nyingi alizoziweka kwenye album ile amekuja kuzivunja yeye mwenyewe kwenye CLB, Records hizo ni siku ya kwanza tu Scorpion ilipata streams zaidi ya Million 132 kwenye Spotify,, Lakini Kanye baada ya kutoa album yake amekua msanii wapili,sio kaivunja record ya Drake ila ni wapili pamoja na kufanyiwa listening party sehemu tatu tofauti na promotion nyingi Mara afute verses za wakali kama DaBaby,Chris Brown nk. Lakini hajaifikia Scorpion, Lakini Drake katoa CLB kaivunja record yake mwenyewe ya kuskilizwa zaidi ndani ya siku moja kwenye streams services, Na kaivunja hiyo record ndani ya masaa10 tu...
Kwahiyo huyu chalii wa Twitter yuko sahihi na yuko wrong pia ni kutokana tu na yeye atajitetea vipi au atasimamia upande upi??..Tuache tabia ya kumchukulia poa The Champaignpapi huyu katoka sayari nyingine...
Karibuni Tujadili hili Wadau
@NgarenaroBoy
View attachment 1931950