Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,278
- 8,868
Kutokana na hali ya kisiasa ilivyo ndani ya Ccm kwa sasa,Na hali ya uchumi wa nchi yetu,jumlisha na ufisadi wa escrow na ripoti ya CAG ya juzi,Ni dhairi kabisa kisiasa huu ndio mwaka katika historia ya chaguzi za vyama vyingi nchini.Ccm wanaingia kwenye kinyang'anyiro wakiwa na asilimia ndogo sana za ushindi
Kwa maana hiyo,kwa sababu pia Jamii forum ndio sehemu pekee viongozi wa juu wa vyama na serekali huingia na kuchukuwa mawazo ya watanzania kimya kimya njooni wanajamvi kwa pamoja tuanze kutoa ushauri kwa Ukawa,Namna nzuri watakavyopanga safu zao za juu kiongozi baada ya october 25
Kwa kurahisisha zoezi hili twende na tetesi zilizopo,Dr Slaa atasimama kuiwakilisha Ukawa kama rais wa Jamhuri ya mungano wa Tanzania
Tetesi nyingine waziri mkuu ni Profesa Ibrahim Lipumba
Sasa uwanja uliobaki wazi ni wetu wadau tupendekeze makamu wa rais
Jaji mkuu
Katibu mkuu kiongozi
Na nafasi zingine zote pamoja na baraza la mawaziri na wizara husika,Tuwataje kwa sifa na weleji wa timu nzima ya Ukawa kama tunavyoijuwa kwa uwezo wao.
Tushauri,Wachukue ushauri na wakaunde serekali imara,serekali ya wananchi"UKAWA"
Karibuni!
Kwa maana hiyo,kwa sababu pia Jamii forum ndio sehemu pekee viongozi wa juu wa vyama na serekali huingia na kuchukuwa mawazo ya watanzania kimya kimya njooni wanajamvi kwa pamoja tuanze kutoa ushauri kwa Ukawa,Namna nzuri watakavyopanga safu zao za juu kiongozi baada ya october 25
Kwa kurahisisha zoezi hili twende na tetesi zilizopo,Dr Slaa atasimama kuiwakilisha Ukawa kama rais wa Jamhuri ya mungano wa Tanzania
Tetesi nyingine waziri mkuu ni Profesa Ibrahim Lipumba
Sasa uwanja uliobaki wazi ni wetu wadau tupendekeze makamu wa rais
Jaji mkuu
Katibu mkuu kiongozi
Na nafasi zingine zote pamoja na baraza la mawaziri na wizara husika,Tuwataje kwa sifa na weleji wa timu nzima ya Ukawa kama tunavyoijuwa kwa uwezo wao.
Tushauri,Wachukue ushauri na wakaunde serekali imara,serekali ya wananchi"UKAWA"
Karibuni!