Tajiri mpole
JF-Expert Member
- Apr 15, 2018
- 2,420
- 4,645
Nilienda last week
Hekari moja laki 8
Kiwanja laki 3
Huko kijiji cha zumba
Pale town kwao kiwanja kuanzia 3M na nusu na kuendelea
Range rover, Nimekupenda bure acha nimshauri mke wangu
Tafuta mwenyeji mkuu, mimi nilifunga safari kwenda kutembea na kutafuta fursa, nika mwambia bodaboda anipeleke kwa mwenyeji...nje ya mji kijiji kinaitwa zumba.Mkuu usalama wa viwanja na mashamba ukoje huko?
Heka zipo zina patikana, la msingi tafuta mwenyeji usije uziwa sehemu mara mbili.walioenda tupeni mrejesho na mimi nataka nikanunue japo heka moja
Nilienda kukagua, nika mwambia mwenyeji pale ikitokea mtu anauza shamba kwa shida anishtue...tulibadilishana namba.ulipata eneo au ulienda kukagua mazingira kwanza
asante mkuu naomba ikitokea na mimi nijulishe, plz naomba namba zako PMNilienda kukagua, nika mwambia mwenyeji pale ikitokea mtu anauza shamba kwa shida anishtue...tulibadilishana namba.