Range rover
Senior Member
- Nov 22, 2016
- 186
- 195
Wadau hamjambo?
Nimehamia huku panaitwa Zumba mabanzini mkoa wa Pwani, kwa ufupi unapo toka Dar panda magari pale Mbezi yanayokwenda Boko Mnemela ukifika Boko Mnemela kodi boda boda elfu 6 mpaka huku Mabanzini.
LIFE YA HUKU
Huku wamang'ati bado wapo wamezuia maeneo, yaani nilichofanya nimemuhamisha mmang'ati kwa laki 8 eneo la heka 9
Bado bushi sema kanisa katoliki wamekuja juzi nao wanajenga hostel za masister na ndio wanafanya harakati za kuweka umeme.
Life ya huku ni ya ki nzuri maeneo mengi ni msitu na serikali imeweka bango ukisafusha eneo ndio lako nyumba ni chache ila vibanda vya wamang'ati na mashamba ya mahindi tu ndio mengi.
Yaani kwamimi niliekulia tarangire hapa nnahisi kama nipo home aisee ni kuzuri tambarare yake usipime huku watu wengi wafugaji, kuku, nguruwe, mbuzi, kilimo cha karanga, matikiti, mahindi, pilipili mwendo kasi, maziwa ya ng'ombe kwa wingi naona watu hawaja pastukia this gift land.
Karibuni sana
Mabanzini, Zumba
Nimehamia huku panaitwa Zumba mabanzini mkoa wa Pwani, kwa ufupi unapo toka Dar panda magari pale Mbezi yanayokwenda Boko Mnemela ukifika Boko Mnemela kodi boda boda elfu 6 mpaka huku Mabanzini.
LIFE YA HUKU
Huku wamang'ati bado wapo wamezuia maeneo, yaani nilichofanya nimemuhamisha mmang'ati kwa laki 8 eneo la heka 9
Bado bushi sema kanisa katoliki wamekuja juzi nao wanajenga hostel za masister na ndio wanafanya harakati za kuweka umeme.
Life ya huku ni ya ki nzuri maeneo mengi ni msitu na serikali imeweka bango ukisafusha eneo ndio lako nyumba ni chache ila vibanda vya wamang'ati na mashamba ya mahindi tu ndio mengi.
Yaani kwamimi niliekulia tarangire hapa nnahisi kama nipo home aisee ni kuzuri tambarare yake usipime huku watu wengi wafugaji, kuku, nguruwe, mbuzi, kilimo cha karanga, matikiti, mahindi, pilipili mwendo kasi, maziwa ya ng'ombe kwa wingi naona watu hawaja pastukia this gift land.
Karibuni sana
Mabanzini, Zumba