Hank_31
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 855
- 2,112
Kwanza kabisa nilipolpata taarifa za mimba moyo ulisimama, akili ikaganda na mwili ukasinyaa, ghafla nikajiliwaza kwa kusema huyu mwanamke atakua amenicheat na ameona mimi ndo wa kutupiwa mimba, So chakufanya ni kuiruka tu...
Baada ya kukataa nilikaa kwa muda wa siku 3 nikiwa na mawazo kibao yaliyojaa maswali mengi , je huyu mwanamke anawezaje kunisaliti na kunibambikizia mimba? , Vipi kama kweli ni ya kwangu?, Itakuaje kama mama mtarajiwa ataugua?, Aseeeh japo niliwaza sana na kutamani kupata majibu walau wa swali hata moja lakini kadiri muda ulivyokua ukiongezeka matumaini ya kupata majibu yalikua yakitoweka.....
Baada ya kukataa nilikaa kwa muda wa siku 3 nikiwa na mawazo kibao yaliyojaa maswali mengi , je huyu mwanamke anawezaje kunisaliti na kunibambikizia mimba? , Vipi kama kweli ni ya kwangu?, Itakuaje kama mama mtarajiwa ataugua?, Aseeeh japo niliwaza sana na kutamani kupata majibu walau wa swali hata moja lakini kadiri muda ulivyokua ukiongezeka matumaini ya kupata majibu yalikua yakitoweka.....