mbenda said
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 1,019
- 1,945
🔥Tutafanya NjombeUtafanyia mkoa gani?
Ahsante ndugKila la kheri...
Sawa karbu pia Kama utakuwa na mawazo zaid waweza nichekiBinafsi ninakuunga mkono Mimi nipo mafinga nitakutafuta tufanye mapatano
Naheshimu mawazo yako sikupingi lakini ww Kama kijana inabidi uonyeshe uthubutu ,utakuja kuhtajik zaid iwe kweny familia au jamii piaBiashara ya kwenye daftali tumewekeza 300000 tumepata 1,500000 tuendelee kuijadili hii faida tuifanyie nn huku huku ktk daftali lkn ukichukua hiyo pesa cash ukaenda kufanya hiyo biashara usitegemee kupata faida hiyo kamwe.
yupo dada mmoja nae pia aliacha akahamia kwenye nguo amekuwa maarufu maarufuMkuu nayo ni businesses kama zingine zina risk pia tena kubwa tu,kuna mdada moja namfahamu tena Msukuma ila makazi yake alihamishia Njombe kufanya biashara hiyo Mara ya kwanza nilikutana naye akiwa ana kodi semi trailer anajza mkaa na kupeleka DSM-kwa kuona vile nilijua life lako lingekuwa super sana.
Siku moja nilimtembelea kwa lengo LA kujifunza,akanieleza kuwa aliacha hiyo biashara na haitaki tena amehamia kwenye mazao sababu ilimpelekea hasara sana.alinitaji sababu nyingi sana
Mkuu unachosema mi naamini cause kuna ndugu yangu alishafanya Sana iyo biashara akafikia adi kununua Scania yake.Hadi mda huu tunaongea Hana hata mia,na ashukuru alijenga.Inasadikika ni biashara kama ya madini yaani imekaa kudhurumiana Sana kuanzia mkulima ,mfanya biashara hadi dalali.Mi nahisi labda Kwa sababu miti mingi wanayokata ni makazi ya mizimuKuna mtu anauza mkaa
Anafata mkoani huko Kwa malori
Gunia 700 au kwake kitu kidogo sana
Cha kushangaza kila siku ana shida
Kila siku anauza nyumba anayoishi..
Anaenda Jenga ingine kabla haijaisha kapata tena shida anauza...
Niliwahi sikia biashara ya mkaa kuna aina ya miti kama inaku laani hivi...unapata shida zisizo isha..unaposhiriki kukata na kuchoma hiyo miti...
Siamini but then again....
Umeenda mbali sana kwa wahindi we sema wachagaukifika nchi, mkoa ama eneo ambapo hamna wahindi wanafanya biashra, tambua hilo eneo au nchi halifai wewe kufanya biashra
Naomba connection mkuu ya anayefanya ya biashara ya mbao🙏2*2 900
2*3 300
2*4 1500
1*6 500
1*8 400
1*4 300
kidunia, tunaanza na wahindi, kiafrica ni wanaijeria hasa wa kabila la igbo, na tz wachaga kutokea romboUmeenda mbali sana kwa wahindi we sema wachaga
Sumri anafanya hii biashara Chunya huko. Usitishe watu. Au Sumri ni mmang'ati?Mkuu ukiona kuna biashara muhindi haifanyi, basi usifanye..
hakuna muhundi anauza mkaa hata umpe msitu bure avune na achome mkaa..
biashar ya mkaa itakupa hela, pia itakufilisi na nimeona wengi sana
kwny baadhi ya principles kunakuwaga na exceptionals pia, 0.001% ya waliofanikiwa katika hiyo biashara ni sawa na sefuri tu.Sumri anafanya hii biashara Chunya huko. Usitishe watu. Au Sumri ni mmang'ati?
Njombe uko Kata gani? Mi nipo hapa Hagafilo. Tutafutane tupange mamboNaheshimu mawazo yako sikupingi lakini ww Kama kijana inabidi uonyeshe uthubutu ,utakuja kuhtajik zaid iwe kweny familia au jamii pia
Kwani huyu Sumri si ni marehemu? Au kafufuka?Sumri anafanya hii biashara Chunya huko. Usitishe watu. Au Sumri ni mmang'ati?
Aliacha nadhani watoto wawili. Sasa msimamizi mkuu amefungua shamba la mahindi Songwe ndo huko anatoa mkaa balaaKwani huyu Sumri si ni marehemu? Au kafufuka?
Anatafuta mtaji hapo, pesa atapeleka kwenye mabasi akirudi kuwa tajiri kuliko baba yake mtasema ni mkaa, kumbe target ni mkaa kuboost mtaji wa biashara yao ya asili ya mabasi.Aliacha nadhani watoto wawili. Sasa msimamizi mkuu amefungua shamba la mahindi Songwe ndo huko anatoa mkaa balaa
Naomba connection mkuu ya anayefanya ya biashara ya mbao