Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,528
- 30,594
Nipe chakula ntanawa, ntakula ntashiba.
Usiku nikienda kulala ntaota mapenzi..
Ukisikia naimba, nafurahi najiimbia kama ukisikia naimba naimba mapenzi.
Ukiniona nalia nifute machozi... jua ukiniona nalia nalilia mapenzi. Ooh yeyeyeeh
Balaa sana
Usiku nikienda kulala ntaota mapenzi..
Ukisikia naimba, nafurahi najiimbia kama ukisikia naimba naimba mapenzi.
Ukiniona nalia nifute machozi... jua ukiniona nalia nalilia mapenzi. Ooh yeyeyeeh
Balaa sana