Hivi Bright nae kapotelea wapi?
Unaumwa CHIBU BABA LAOKwa mwaka huu naamini hakuna msanii wa bongo ambae ametoa ngoma iliyofikia viwango vya RAHA
FactDogo hajui mziki uyo, hakuna ata nyimbo yake moja ambayo imewahi kunigusa
Well saidDuh nisiwe muongo nyimbo zake najua tu inatosha
Uko Sahihi.Anajua sana sema ajitahidi kucheza na melody mana anarudia sana
Dah dogo namkubali sana, ngoma zangu bora kabisa kutoka kwake ni hizi
1. Inatosha
2. Ifunanya
3. Raha
4. Ya uchungu
Nasubiri atakayemfananisha na Mondi nimtusi
Dogo hajui mziki uyo, hakuna ata nyimbo yake moja ambayo imewahi kunigusa
Ndio msanii anayeimba nyimbo za kueleweka kwasasa..!
Aendelee kufanya anachokifanya, muda sio mrefu watu watakuja kujua kuwa wanapoteza muda wao kwa two overrated artists wa Tanzania..!
Chibonge sio yake kashirikishwa tuHuyo marioo kaimba nyimbo moja tu - chibonge, zingine zote hamna kitu!