Kama haijakugusa wewe ndo hajui mziki?endelea kushabikia taarabu mzee,hujui muziki wewe!Dogo hajui mziki uyo, hakuna ata nyimbo yake moja ambayo imewahi kunigusa
Kama haijakugusa wewe ndo hajui mziki?endelea kushabikia taarabu mzee,hujui muziki wewe!Dogo hajui mziki uyo, hakuna ata nyimbo yake moja ambayo imewahi kunigusa
Ukimskiliza brown, derulo, sheraan, marshmello, na wengineo hutokaa kusifia upumbavu huoKama haijakugusa wewe ndo hajui mziki?endelea kushabikia taarabu mzee,hujui muziki wewe!
Unataka uguswe wapi bintiDogo hajui mziki uyo, hakuna ata nyimbo yake moja ambayo imewahi kunigusa
ni kweliAlichagua jina baya na yeye, angejiita tu Mario ingetosha sio marioo.
Muoneni huyu "Mjinga"
Hii chibonge ni tatz, Bonge la ngomaHuyo marioo kaimba nyimbo moja tu - chibonge, zingine zote hamna kitu!
Inataka Baba Lao!Sijawai elewa industry ya bongo inataka nn mana dogo anaimba poa ila dogo hajatoboa
ndo nasikiliza nowAtaimba nyimbo zote ila jatoimba kama Raha.. very sweet
mm nlkua simjui huyu dgo ndo nmemsikia janaHatari sana..na maproducer wake wanamtolea vitu vyenye production kali sana..
Huyu ni msanii bora Tanzania kwa upande wangu kwa huu mwaka