badsangu
Member
- Nov 1, 2017
- 67
- 28
Habr za kazi wakuu,niende moja kwa moja katika mada yangu kama ilivyo andikwa hapo juu. Mimi ni mwalimu Wa sekondari ya Nkome iliyoko mkoa Wa Geita,wilaya ya Geita vijijini,Kata ya Nkome,naomba kubadilishana kituo Na mwalimu ambaye atakuwa mikoa ifuatayo:Mbeya, Iringa, Njombe, pwani,hata morogoro pia sio mbaya.Mwalimu awe anafundisha somo La hisabati kwa maekezo zaid ni pm ili tuweze kuyajenga asanteni sana