marktindo04
Member
- Dec 16, 2019
- 23
- 74
Mambo vipi wana JF hope wote mko poa, ebwanaa najua katika maisha ukipata kuelewa kitu na unapo fundisha wenzako ndio unazidi kupata uelewa mkubwa zaidi na zaidi.
Sasa mimi ni kijana nina miaka 22, niko chuo but in reality akili yangu imekaa kibiashara sana ,nauza vitu online ambavyo naagiza nje ya nchi na napata faida nzuri tu lakin kwa mtaji niloanza nao ni mdgo sana ,naweza kutumia laki 3 kuagiza mizigo ambayo ikifika nikiuza napata faida tu 700,000 kuendelea.
mwanzoni nilikua nasoma kwa kuangalia video za youtube maana nilitokea kuchunguza Alibaba since 2015
siku ya kwanza kuagiza mzigo wangu ulikua ni Airpods yani wireless earphones za masikioni maana najua vijana wengi wanapenda vitu kama hivyo
then badae naweka tangazo la promotion instagram na kuuza zote kwa mda mfupi sana ,faida yangu inakua kubwa pale pale .wengi wanaambiwa eti kuagiza china mizigo inachelewa HApana kuna kampuni zinatumia week 3 mzigo unakua ushafika chap sanaa yan
Njoo whatsapp au Dm nikupe maelekezo ya kuagiza mizigo china na kuanza kuuza kupitia tangazo instagram ambapo ndo watu wengi hutumia mda mwingi sana
Yote haya tunaweza kutana kama upo Dar nika kwelekeza vizuri mwanzo mwisho na kukusaidia kila kitu hadi mzgo wako kufika Bongo
MALIPO YANGU NI TSH 20,000 TU
Note Mimi sio tapeli
page yangu ya instagram inaitwa @buymark
whatsapp/calls number 0746751987
Sasa mimi ni kijana nina miaka 22, niko chuo but in reality akili yangu imekaa kibiashara sana ,nauza vitu online ambavyo naagiza nje ya nchi na napata faida nzuri tu lakin kwa mtaji niloanza nao ni mdgo sana ,naweza kutumia laki 3 kuagiza mizigo ambayo ikifika nikiuza napata faida tu 700,000 kuendelea.
mwanzoni nilikua nasoma kwa kuangalia video za youtube maana nilitokea kuchunguza Alibaba since 2015
siku ya kwanza kuagiza mzigo wangu ulikua ni Airpods yani wireless earphones za masikioni maana najua vijana wengi wanapenda vitu kama hivyo
then badae naweka tangazo la promotion instagram na kuuza zote kwa mda mfupi sana ,faida yangu inakua kubwa pale pale .wengi wanaambiwa eti kuagiza china mizigo inachelewa HApana kuna kampuni zinatumia week 3 mzigo unakua ushafika chap sanaa yan
Njoo whatsapp au Dm nikupe maelekezo ya kuagiza mizigo china na kuanza kuuza kupitia tangazo instagram ambapo ndo watu wengi hutumia mda mwingi sana
Yote haya tunaweza kutana kama upo Dar nika kwelekeza vizuri mwanzo mwisho na kukusaidia kila kitu hadi mzgo wako kufika Bongo
MALIPO YANGU NI TSH 20,000 TU
Note Mimi sio tapeli
page yangu ya instagram inaitwa @buymark
whatsapp/calls number 0746751987