Usidanganye tena maan sik nyingine ntakuchapa sawa totoo😕,Halafu ujifunze kudanganya maana alipo Rais kama EL jua jeshi la Red liko karib, hapo nimekuona sijui ni ww ndo umeweka ulinzi hapo na blauzi yako nyekundu:what:
Da Hii picha imenikumbusha mbili nimejiona ban a ilikuwa ni mkutano wa mtia Nia wa udiwani mwezi wa 5 nilishika Hilo bango pichani du siasa propaganda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.