mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,076
- 4,113
Kua m-yaone wanaJF,
Huko mkoa wa Njombe kuna mtaalam wa mitishamba anavunja rekodi kwa kujijengea kaburi pamoja na wakeze watatu. Kaburi hilo la aina yake ni nyumba ya ghorofa itakayokuwa ya kisasa. Amesema anajenga ili asisahaulike na vizazi vyake.
Pia anamiliki kituo kikubwa cha afya kwa ajili ya kuhudumia wateja wake. Kituo hicho ni cha kuvutia kuliko.
Pia anamiliki nyumba kadhaa hapo hapo na usafiri aiana ya Discovery 4 kwa ajili ya kutanulia mjini na Dodge Ram la 150 milioni kwa ajili ya kuchanja mbuga kusaka madawa pori kwa pori.
Tusichoshane, angalieni wenyewe video...
Zaidi, soma
Huko mkoa wa Njombe kuna mtaalam wa mitishamba anavunja rekodi kwa kujijengea kaburi pamoja na wakeze watatu. Kaburi hilo la aina yake ni nyumba ya ghorofa itakayokuwa ya kisasa. Amesema anajenga ili asisahaulike na vizazi vyake.
Pia anamiliki kituo kikubwa cha afya kwa ajili ya kuhudumia wateja wake. Kituo hicho ni cha kuvutia kuliko.
Pia anamiliki nyumba kadhaa hapo hapo na usafiri aiana ya Discovery 4 kwa ajili ya kutanulia mjini na Dodge Ram la 150 milioni kwa ajili ya kuchanja mbuga kusaka madawa pori kwa pori.
Tusichoshane, angalieni wenyewe video...
Zaidi, soma
TANZIA - Njombe: Anthony Mwandulami Afariki Dunia. Alijijengea kaburi la mamilioni ya shilingi
Dokta Anthony Mwandulami mganga maarufu kutoka Kijiji Cha Itunduma kitongoji Cha wangama Kata ya Mtwango mkoani Njombe Afariki Dunia usiku wa Jana jijini Dar es Salaam. Mganga huyo aliyejipatia umaarufu nchini baada ya kujijengea kaburi lake la mamilion ya fedha ambalo alisema atazikwa yeye na...
www.jamiiforums.com