TANZIA Njombe: Anthony Mwandulami Afariki Dunia. Alijijengea kaburi la mamilioni ya shilingi

Dumas the terrible

JF-Expert Member
Jan 20, 2021
4,032
8,164
1625389547060.png
1625389506191.png


Dokta Anthony Mwandulami mganga maarufu kutoka Kijiji Cha Itunduma kitongoji Cha wangama Kata ya Mtwango mkoani Njombe Afariki Dunia usiku wa Jana jijini Dar es Salaam.

Mganga huyo aliyejipatia umaarufu nchini baada ya kujijengea kaburi lake la mamilion ya fedha ambalo alisema atazikwa yeye na wakeze watatu.

Dokta Mwandulami alichukua uamuzi huo wa kujiandalia makazi ya milele kitendo kilichowashangaza wananchi wengi hapa nchini.

Taarifa zaidi nitazileta Kwa update!

Zaidi, soma: Njombe: Mganga wa kienyeji Mwandulami ajijengea kaburi la mamilioni, anamiliki magari ya kifahari
 
Asante mods Kwa kuunganisha Uzi ! Pia naomba mnieditie kichwa Cha habari kisomeke Mganga wa Jadi Aliyejinjengea kaburi la mamilion Afariki Dunia

Natanguliza shukrani
🙏🙏🙏🙏🙏
 
View attachment 1840225View attachment 1840223
Dokta Anthony Mwandulami mganga maarufu kutoka Kijiji Cha Itunduma kitongoji Cha wangama Kata ya Mtwango mkoani Njombe Afariki Dunia usiku wa Jana jijini Dar es Salaam.

Mganga huyo aliyejipatia umaarufu nchini baada ya kujijengea kaburi lake la mamilion ya fedha ambalo alisema atazikwa yeye na wakeze watatu.

Dokta Mwandulami alichukua uamuzi huo wa kujiandalia makazi ya milele kitendo kilichowashangaza wananchi wengi hapa nchini.

Taarifa zaidi nitazileta Kwa update!

Zaidi, soma: Njombe: Mganga wa kienyeji Mwandulami ajijengea kaburi la mamilioni, anamiliki magari ya kifahari
Ikumbukwe kuwa yeye si mtu wa kwanza kujijengea kaburi in advance, hilo jambo alijifunza kutoka kwa mzee Lutengano wa Mtwango, Mzee Lutengano aliwahi kuwa mkuluma maarufu miaka hiyo akimiliki tractor aina ya Ford iliyokuwa ikitumia kerosene na alidumu nayo kwa miaka mingi hadi late 80s, inasadikika kampuni ya Ford ilipata habari juu ya uwepo wa tractor hiyo kongwe kinyume na matarajio yao, hivyo kitendo cha kukitunza chombo hicho kwa miaka mingi na hata kuipa kampuni hiyo sifa kuwa inatengeneza vitu imara, kiliwafanya watengenezaji wa Ford kumpa zawadi.
 
Back
Top Bottom