Njombe Hotel Mwenye ufahamu

Njombe Hotel Mwenye ufahamu

ze farmer

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
922
Reaction score
1,821
Guys nataraji kwenda mkoa tajwa hapo juu. Mwenye ufahamu na hotel nzuri ya kufikia na bei per night anisaidie. ikiwa around 25,000 to 30,000 itakuwa njema
Wasalam
 
Guys nataraji kwenda mkoa tajwa hapo juu. Mwenye ufahamu na hotel nzuri ya kufikia na bei per night anisaidie. ikiwa around 25,000 to 30,000 itakuwa njema
Wasalam
Subiri kina mapembelo waje wakiongozwa na laki si pesa!
 
Guys nataraji kwenda mkoa tajwa hapo juu. Mwenye ufahamu na hotel nzuri ya kufikia na bei per night anisaidie. ikiwa around 25,000 to 30,000 itakuwa njema
Wasalam
Fikia Johnson Hotel
 
mkuu itakuwa poa au nimesia Mexons Hotel iko poa pia
Kwa bajeti yako ya TZS 25,000/= hadi 30,000/= hapo Mexons Cliff Hotels itakubidi ujiongeze kidogo. Rate zao ni kuanzia 60,000 hadi 120,000. Labda Glory Hotel ambayo rate yao ni kuanzia 30,000/= hadi 50,000/=.

Mawasiliano yao:
Mexons ni 026 2782 282
Glory Hotel ni 0768 786 792.
 
Bro acha ushamba wa kizamani kuuliza uliza. Fungua Googlemap>>>nenda njombe>>>select hotels... itakupa hotel zote, picha zake, number ya mawasiliano na bei.

Kila la heri. Dunia ni kijiji.
 
Bro acha ushamba wa kizamani kuuliza uliza. Fungua Googlemap>>>nenda njombe>>>select hotels... itakupa hotel zote, picha zake, number ya mawasiliano na bei.

Kila la heri. Dunia ni kijiji.
Mkuu mi sio mshamba ka bibi ako..hayo yote nimefanya ila hamna contact zao sasa tatizo lao au langu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa bajeti yako ya TZS 25,000/= hadi 30,000/= hapo Mexons Cliff Hotels itakubidi ujiongeze kidogo. Rate zao ni kuanzia 60,000 hadi 120,000. Labda Glory Hotel ambayo rate yao ni kuanzia 30,000/= hadi 50,000/=.

Mawasiliano yao:
Mexons ni 026 2782 282
Glory Hotel ni 0768 786 792.
Hawa jamaa Glory Hotel hawana space wanadai zimejaa mkuu 60,000*30=1,800,000 mshahara wa mwalimu wa sekondari miezi minne na nusu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom