mimimnyenyekevu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 760
- 1,037
Wasalaam ndugu zangu
Naomba nilete kwenu hii hoja.
Kuna njiwa wawili wa kike na wa kiume Huwa wanakuja kulala nyumbani kwangu, chini ya bati au Dari lakini asubuhi wanaonfoka ikifika jioni wanakuja tena kulala.
Siwajui ni wa nani, hivi hii inaweza kuwa sababu ni Nini?
Naomba nilete kwenu hii hoja.
Kuna njiwa wawili wa kike na wa kiume Huwa wanakuja kulala nyumbani kwangu, chini ya bati au Dari lakini asubuhi wanaonfoka ikifika jioni wanakuja tena kulala.
Siwajui ni wa nani, hivi hii inaweza kuwa sababu ni Nini?