buhange
JF-Expert Member
- Oct 23, 2011
- 505
- 110
Hilo nalo neno! ila isijeikawa mumeruhusu theory za kwenye MOVIE ziwe practical KWENU.Maana 3 yrs bro! halafu hujakataa tamaa siyo kitoto yaani kama ni uvumilivu wewe ni zaidi ya WATANZANIA waishio ktkt ya hali ngumu ya maisha lakini wakiwa kimya tu. KAZA BUTI