Njia za kuuza nyumba au kiwanja kwa haraka.

Dr wa Kaliua

JF-Expert Member
Sep 20, 2020
1,636
3,807
Habari zenu wanajamii.
Katika maisha Kuna kipindi mtu unakutwa na changamoto za kifedha mpaka unaamuua kuuza asset zako Kama njia ya kujikwamua.

Shida huwa sio kuuza au kuamua kuuza shida huwa Ni kupata Mteja..
Madalali wengi wanategema kiwanja Chako kupata pesa, Ila Kuna baadhi ya kampuni huwa nasikia wananunua wao alafu wanaboresha.

Kwaiyo mtu unauza kwa haraka na Mambo mengine yanaendele..

Sasa ndugu zangu Kama Kuna mtu yoyote anajua njia hizo naomba anisaidie.

Ahsante Sana.

Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu wanajamii.
Katika maisha Kuna kipindi mtu unakutwa na changamoto za kifedha mpaka unaamuua kuuza asset zako Kama njia ya kujikwamua.

Shida huwa sio kuuza au kuamua kuuza shida huwa Ni kupata Mteja..
Madalali wengi wanategema kiwanja Chako kupata pesa, Ila Kuna baadhi ya kampuni huwa nasikia wananunua wao alafu wanaboresha.

Kwaiyo mtu unauza kwa haraka na Mambo mengine yanaendele..

Sasa ndugu zangu Kama Kuna mtu yoyote anajua njia hizo naomba anisaidie.

Ahsante Sana.

Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
Unataka kuuza kiwanja?

Kiko wapi? Pengine nikawa mteja
 
Unataka kuuza kiwanja?

Kiko wapi? Pengine nikawa mteja
Ni nyumba ilio na msingi na choo futi kumi na mbili zilizojengewa kabisa..

1.vyumba vitatu
2.sitting room
3.dinning room
4.choo Cha ndani.
5.store.

Location jiji la ilala kata ya kitonga.
Dakika Saba kutoka barabara kuu ya chanika mbagala.

Kuna huduma zote muhimu jirani Kama maji, hospital nk.
Bei 8m
No 0784312904
IMG_20211218_174939.jpg


Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
 
Ni nyumba ilio na msingi na choo futi kumi na mbili zilizojengewa kabisa..

1.vyumba vitatu
2.sitting room
3.dinning room
4.choo Cha ndani.
5.store.

Location jiji la ilala kata ya kitonga.
Dakika Saba kutoka barabara kuu ya chanika mbagala.

Kuna huduma zote muhimu jirani Kama maji, hospital nk.
Bei 8m
No 0784312904View attachment 2050862

Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
Mmmmh
 
Back
Top Bottom