kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,310
- 12,607
Hakuna kazi nyingine zaidi kufanya sex majumbani huko watu walikojifungia kukimbia COVID-19.
Dunia na kila nchi ijiandae na ongezeko kubwa la watu wengi waliopata ujauzito baada ya zoezi hili la kupambana na Corona kufikia tamani. Ama kuna familia zitashindwa kujifungia nyumbani kutokana na mke kusumbuliwa na shida za mimba changa.
Familia kukaa nyumbani hakuna namna watakavyozuia wasifanye ngono kila wakati 24/7 kwa siku 30, 60 au kipindi chote amri ya kujifungia nyumbani kitakapotekelezwa.
Naishauri dunia na serikali mbalimbali zijiandae pia na namna watakavyo pokea na kuhudumia wanawake na familia wenye shida za ujauzito na kujifungua, msije mkasema mlikuwa hamjui, mimi ninawakumbusha sasa.
Dunia na kila nchi ijiandae na ongezeko kubwa la watu wengi waliopata ujauzito baada ya zoezi hili la kupambana na Corona kufikia tamani. Ama kuna familia zitashindwa kujifungia nyumbani kutokana na mke kusumbuliwa na shida za mimba changa.
Familia kukaa nyumbani hakuna namna watakavyozuia wasifanye ngono kila wakati 24/7 kwa siku 30, 60 au kipindi chote amri ya kujifungia nyumbani kitakapotekelezwa.
Naishauri dunia na serikali mbalimbali zijiandae pia na namna watakavyo pokea na kuhudumia wanawake na familia wenye shida za ujauzito na kujifungua, msije mkasema mlikuwa hamjui, mimi ninawakumbusha sasa.