WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,458
- 956
Kunywa Cranberry juice kwa wingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunywa Cranberry juice kwa wingi
nenda sokoni kama muda unao ukanunue matunda halisi au kama huna muda zama supermarket kama shrejees,shoprite na zinginezo utapata juice tayari, au hata maji ya dafu kwa wingi yanasafisha iyo kituna maji ya kawaida muhimu sana kwa wingi..nielekeze inapatikana wapi dadaangu
Wadau nina hili tatizo la kuwashwa njia ya mkojo. Pia wakati wa kukojoa nina maumivu wakati fulani. Nielekezeni kwa urologist mzuri tafadhali
teh teh teh, Ukimaliza kukojoa fanya kama unakamua uume, vipi unatoka usaaa...kama ukitoka basi we mzima usiwe na shaka, ila Usipotoka Tuma SMS kwa shemeji umpitie mwende kwa daktari haraka mwafwaaa......:becky:
Wadau nina hili tatizo la kuwashwa njia ya mkojo. Pia wakati wa kukojoa nina maumivu wakati fulani. Nielekezeni kwa urologist mzuri tafadhali
jaribu pia kunifafanulia, mkuumkuu ni age inakusumbua au ulipo kuwa young ulikuwa unasugua sana pole sana waone wahusika watakusaidia
Conquest-Msumari wa jahazi haupigwi ktk nyumba
Angalia mkuu kama unatabia ya kufanya kinyume na maumbile sometimes unaweza kupatwa na tatizo hilo na linaweza hata kusababisha kupigwa bomba; ila najua wewe sio kijana wakufanya uchafu huo. But this can be a warning for those who practice such diety thing. Be Careful!!:ballchain:
duh, watu washaanza kuchakachua ugonjwa wa mshikajiAsiogope sana kwani Prostate Cancer inatibika na hata huo muwasho unatibika pia. Nashauri atutumie food supplement aina ya Omega 3, Nature Min na juice ya Aloe vera aina ya Berry Necta. Kwa msaada zaidi waliana nami byongje@gmail.com
hapa ni vice versa eeh? Eti Elnino?teh teh teh, Ukimaliza kukojoa fanya kama unakamua uume, vipi unatoka usaaa...kama ukitoka basi we mzima usiwe na shaka, ila Usipotoka Tuma SMS kwa shemeji umpitie mwende kwa daktari haraka mwafwaaa......:becky:
Pia mkuu angalia isikute unafanya masterbation na unatumia sabuni za mbuni/khanga ikiingia inamadhara kama hayo
Obvious na yeye atakuwa mdau wa hizo sabuni. Ebu ngoja atatujibu kama akipita hapaUlijuaje ndugu yangu??:confused2::confused2:
Obvious na yeye atakuwa mdau wa hizo sabuni. Ebu ngoja atatujibu kama akipita hapa