Njia sahihi ya kutunza mawazo yako...

Elisha Chuma

JF-Expert Member
Jul 22, 2013
275
262
Mawazo yako ndio yanaongoza ndoto zako usiyaache yakapeperuka na kubadilika kila siku andika utapata msingi wa kuanzia ili kuifikia ndoto yako.

Unaweza kuwa na ndoto moja ila namna ya kuifikia kunakuwa na njia nyingi zinakuja kichwani mwako bila kuandika utajichanganya mwenyewe,weka ama tengeneza tabia ya kuandika mawazo yako sio lazima utembee na daftari maisha yamebadilika utandawazi unarahisisha mambo hata simu yako inasehemu ya kutunza kumbukumbu kama hizo (notes).

Andika kisha pitia na fanya tathmini,ukiyaandika mawazo yako kwenye maandishi ndio unaongeza uwezo wa kulifanya hilo wazo kwa uhakika zaidi.

Usidharau aina ya wazo ama kujiona umewaza pafupi,ukitaka kujitathmini wewe kama wazo lako sio dogo angalia kuna kiwanda cha kutengeneza pipi ambayo hiyo pipi inauzwa Tshs. 50/= yaani hadi kimejengwa kiwanda lakini kwa kutengeneza bidhaa ya Tshs.50 zamani tsh 10/,wazo lako ni kubwa na hakuna biashara isiyolipa ni mtazamo wako tu.Andika ndio mwanzo wa kufanya vitu kwa uhakika.

Jumapili njema.

Elisha Chuma.
Mshauri wa Branding,Biashara na Ujasiriamali.
@elishachuma
 
Nimezoea kuhifadahi mawazo yangu kwenye kisimu changu kidogo, kwa mpangalio wa messages na huwa nazifunga messages hizo kuepuka hatari ya kuzifuta. Hii ni nzuri sana kama utajenga tabia ya kusoma mara kwa mara kile ulichokihifadhi, utapata njia na kufanya kitu kikubwa ambacho hukukitarajia!
 
Mawazo yako ndio yanaongoza ndoto zako usiyaache yakapeperuka na kubadilika kila siku andika utapata msingi wa kuanzia ili kuifikia ndoto yako.

Unaweza kuwa na ndoto moja ila namna ya kuifikia kunakuwa na njia nyingi zinakuja kichwani mwako bila kuandika utajichanganya mwenyewe,weka ama tengeneza tabia ya kuandika mawazo yako sio lazima utembee na daftari maisha yamebadilika utandawazi unarahisisha mambo hata simu yako inasehemu ya kutunza kumbukumbu kama hizo (notes).

Andika kisha pitia na fanya tathmini,ukiyaandika mawazo yako kwenye maandishi ndio unaongeza uwezo wa kulifanya hilo wazo kwa uhakika zaidi.

Usidharau aina ya wazo ama kujiona umewaza pafupi,ukitaka kujitathmini wewe kama wazo lako sio dogo angalia kuna kiwanda cha kutengeneza pipi ambayo hiyo pipi inauzwa Tshs. 50/= yaani hadi kimejengwa kiwanda lakini kwa kutengeneza bidhaa ya Tshs.50 zamani tsh 10/,wazo lako ni kubwa na hakuna biashara isiyolipa ni mtazamo wako tu.Andika ndio mwanzo wa kufanya vitu kwa uhakika.

Jumapili njema.

Elisha Chuma.
Mshauri wa Branding,Biashara na Ujasiriamali.
@elishachuma
Niandalie business plan inaonyesha wewe kwenye paper work upo vizuri
 
Nimezoea kuhifadahi mawazo yangu kwenye kisimu changu kidogo, kwa mpangalio wa messages na huwa nazifunga messages hizo kuepuka hatari ya kuzifuta. Hii ni nzuri sana kama utajenga tabia ya kusoma mara kwa mara kile ulichokihifadhi, utapata njia na kufanya kitu kikubwa ambacho hukukitarajia!
Ni kweli kwa sasa teknolojia imeendelea simu yako inaweza kukusaidia lakini pia ili kuwa na uhakika zaidi unaweza kutumia app za google hivyo mawazo yako yanakuwa salama hata ikitokea umepoteza simu yako bado mawazo yako yatakuwa yamehifadhiwa pamoja na utambulisho wa email yako.
 
Ni kweli kwa sasa teknolojia imeendelea simu yako inaweza kukusaidia lakini pia ili kuwa na uhakika zaidi unaweza kutumia app za google hivyo mawazo yako yanakuwa salama hata ikitokea umepoteza simu yako bado mawazo yako yatakuwa yamehifadhiwa pamoja na utambulisho wa email yako.
Kama app ipi na ip mkuu
 
Mawazo yako ndio yanaongoza ndoto zako usiyaache yakapeperuka na kubadilika kila siku andika utapata msingi wa kuanzia ili kuifikia ndoto yako.

Unaweza kuwa na ndoto moja ila namna ya kuifikia kunakuwa na njia nyingi zinakuja kichwani mwako bila kuandika utajichanganya mwenyewe,weka ama tengeneza tabia ya kuandika mawazo yako sio lazima utembee na daftari maisha yamebadilika utandawazi unarahisisha mambo hata simu yako inasehemu ya kutunza kumbukumbu kama hizo (notes).

Andika kisha pitia na fanya tathmini,ukiyaandika mawazo yako kwenye maandishi ndio unaongeza uwezo wa kulifanya hilo wazo kwa uhakika zaidi.

Usidharau aina ya wazo ama kujiona umewaza pafupi,ukitaka kujitathmini wewe kama wazo lako sio dogo angalia kuna kiwanda cha kutengeneza pipi ambayo hiyo pipi inauzwa Tshs. 50/= yaani hadi kimejengwa kiwanda lakini kwa kutengeneza bidhaa ya Tshs.50 zamani tsh 10/,wazo lako ni kubwa na hakuna biashara isiyolipa ni mtazamo wako tu.Andika ndio mwanzo wa kufanya vitu kwa uhakika.

Jumapili njema.

Elisha Chuma.
Mshauri wa Branding,Biashara na Ujasiriamali.
@elishachuma
Nakupongeza mtoa uzi kwa elimu kubwa,ndio mambo nonayotaka kusoma mwaka huu..
 
Shukrani sana kwa ushauri.
Nicheck kwa namba hii 0785074040 whatsaap please
Tuyajenge please
Mawazo yako ndio yanaongoza ndoto zako usiyaache yakapeperuka na kubadilika kila siku andika utapata msingi wa kuanzia ili kuifikia ndoto yako.

Unaweza kuwa na ndoto moja ila namna ya kuifikia kunakuwa na njia nyingi zinakuja kichwani mwako bila kuandika utajichanganya mwenyewe,weka ama tengeneza tabia ya kuandika mawazo yako sio lazima utembee na daftari maisha yamebadilika utandawazi unarahisisha mambo hata simu yako inasehemu ya kutunza kumbukumbu kama hizo (notes).

Andika kisha pitia na fanya tathmini,ukiyaandika mawazo yako kwenye maandishi ndio unaongeza uwezo wa kulifanya hilo wazo kwa uhakika zaidi.

Usidharau aina ya wazo ama kujiona umewaza pafupi,ukitaka kujitathmini wewe kama wazo lako sio dogo angalia kuna kiwanda cha kutengeneza pipi ambayo hiyo pipi inauzwa Tshs. 50/= yaani hadi kimejengwa kiwanda lakini kwa kutengeneza bidhaa ya Tshs.50 zamani tsh 10/,wazo lako ni kubwa na hakuna biashara isiyolipa ni mtazamo wako tu.Andika ndio mwanzo wa kufanya vitu kwa uhakika.

Jumapili njema.

Elisha Chuma.
Mshauri wa Branding,Biashara na Ujasiriamali.
@elishachuma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom