Tiba salama
Member
- May 20, 2018
- 28
- 24
Ijue Njia rahisi ya kujua sifa na uwezo wa Computer yako.
Hapo ndipo Wamiliki wengi wa channel za youtube wa bongo wanapochemka.Hauwezi kuandika mpaka tuingie YouTube???
Si unajua Voda University wamepandisha vifurushi
Ndugu ni practical sasa nikiandika utajuaje stepsHauwezi kuandika mpaka tuingie YouTube???
Si unajua Voda University wamepandisha vifurushi
Ijue Njia rahisi ya kujua sifa na uwezo wa Computer yako.
Kushusha notes sio tatizo. Tatizo hiyo ni tutorial so ni practical one. Kuna step za kufata lazima mtu aone kwa vitendoshusha notes hapa hapa, izo channel zako peleka insta
Acha mambo yako wewe...yani steps za kujua sifa ya pc yako ni kazi kuandika? Au unataka tukusaidie kuziweka hapa?Kushusha notes sio tatizo. Tatizo hiyo ni tutorial so ni practical one. Kuna step za kufata lazima mtu aone kwa vitendo
Fanya print screen wewe acha kulialia.....Kushusha notes sio tatizo. Tatizo hiyo ni tutorial so ni practical one. Kuna step za kufata lazima mtu aone kwa vitendo
Sijakulazimisha kuangalia. Coz sijasema kuwa lazima uangalie.Fanya print screen wewe acha kulialia.....
Weka note na picha za hicho usemachoView attachment 886157
Sijakulazimisha kuangalia. Coz sijasema kuwa lazima uangalie.Acha mambo yako wewe...yani steps za kujua sifa ya pc yako ni kazi kuandika? Au unataka tukusaidie kuziweka hapa?
Sijakulazimisha kuangalia. Coz sijasema kuwa lazima uangalie.
Duuh kama kuangalia sifa za kompyuta tu kuna step mpaka uangalie video yaan mzee umechemka.Kushusha notes sio tatizo. Tatizo hiyo ni tutorial so ni practical one. Kuna step za kufata lazima mtu aone kwa vitendo
Mkuu acha kulalamika hovyo, mbona video za ngono mnaangalia kwenye mitandao lakini video za mafunzo muhimu mnalalamika?? Badilika mkuu, kama unataka kujifunza ingia you tube na subscribe video za mshua na ujifunze. Kama hutaki kujifunza vitu vya maana basi endelea kupoteza bando lako kuangalia video za ngono.Duuh kama kuangalia sifa za kompyuta tu kuna step mpaka uangalie video yaan mzee umechemka.
Vp wale wanaopost thread za kuunda apps huku wakitoa maelekezo kwa picha, web designing, frp bypassing ambavyo vipo kipractical zaidi na bado wanaweka maelezo.
SawaMkuu acha kulalamika hovyo, mbona video za ngono mnaangalia kwenye mitandao lakini video za mafunzo muhimu mnalalamika?? Badilika mkuu, kama unataka kujifunza ingia you tube na subscribe video za mshua na ujifunze. Kama hutaki kujifunza vitu vya maana basi endelea kupoteza bando lako kuangalia video za ngono.
Hauwezi kuandika mpaka tuingie YouTube???
Si unajua Voda University wamepandisha vifurushi
Hapo ndipo Wamiliki wengi wa channel za youtube wa bongo wanapochemka.
Wengi huzani wakiweka maelezo watu hawatoangalia video wakati hiyo ndio njia nzuri.
Mwisho wa siku watu tunadhani lengo lako ni kupata views na sio kutoa msaada na hivyo watu wanaipuzia thread na mwishowe nyuzi inapotea yenyewe.
Hapo naona tatizo viewers tuKushusha notes sio tatizo. Tatizo hiyo ni tutorial so ni practical one. Kuna step za kufata lazima mtu aone kwa vitendo