PlayBoyMwema
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 1,714
- 1,821
Habari zenu wakuu ningependa mnisaidie njia rahisi ya kudownload file
La torrent lenye ukubwa wa GB 40
Kwa mtandao wangu wa voda(3g) nimecheki naona itachukua siku 2 hadi file lote likamilike kuwa downloaded
Hivi haiwezekan nikadownload hili file la torrent kwa kutumia INTERNET DOWNLOAD MANAGER?
La torrent lenye ukubwa wa GB 40
Kwa mtandao wangu wa voda(3g) nimecheki naona itachukua siku 2 hadi file lote likamilike kuwa downloaded
Hivi haiwezekan nikadownload hili file la torrent kwa kutumia INTERNET DOWNLOAD MANAGER?