Joeli
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 4,941
- 3,402
ishawahi kukutokea umeweka flash au external hard disk kwenye kompyuta na pale pale mafaili na mafolda yote yakageuka shortcut au yakapotea kabisa,
kuna njia rahisi (kwa watumiaji wa windows 7 na kuendelea) ambayo itasaidia kurudisha mafaili yako pamoja na mafolda yaliyokuwemo ndani ya flash au hard disk yako.
1. chomeka flash/external hd yako kwenye pc yenye antivirus iliyo uptodate kisha scan flash yako ili kuondoa virusi
2. nenda kwenye Control Panel > Folder Options > chagua VIEW tab, chagua Show hidden files, folders and drives pia uncheck Hide protected operating system files (recommended) ukimaliza bofya APPLY
3. Fungua command prompt ( au bofya kitufe chenye alama ya window na R kwa pamoja, kisha andika CMD halafu enter)
labda tuseme flash au external yako inasomeka kama drive J:
sasa pale kwenye cmd andika maneno yafuatayo
kama yalivyo, usisahau iyo F ni herufi ya drive yako
ukimaliza bofya enter kisha tulia, baada ya muda mchache utaona kila kitu kimeonekana.
NB: izo alama zinamaana zifuatazo
"-"= ondoa attribute/permition,
h=hidden
s=system
r=read-only
a=archive
/s=sub directory
/d=directory,
drive_letter= herufi ya drive inavyoonekana kwenye windows explorer (mfano. j:,h: or D na
*.* inaitwa wild card.
kuna njia rahisi (kwa watumiaji wa windows 7 na kuendelea) ambayo itasaidia kurudisha mafaili yako pamoja na mafolda yaliyokuwemo ndani ya flash au hard disk yako.
1. chomeka flash/external hd yako kwenye pc yenye antivirus iliyo uptodate kisha scan flash yako ili kuondoa virusi
2. nenda kwenye Control Panel > Folder Options > chagua VIEW tab, chagua Show hidden files, folders and drives pia uncheck Hide protected operating system files (recommended) ukimaliza bofya APPLY
3. Fungua command prompt ( au bofya kitufe chenye alama ya window na R kwa pamoja, kisha andika CMD halafu enter)
labda tuseme flash au external yako inasomeka kama drive J:
sasa pale kwenye cmd andika maneno yafuatayo
Code:
attrib -h -r -s /s /d J:\*.*
ukimaliza bofya enter kisha tulia, baada ya muda mchache utaona kila kitu kimeonekana.
NB: izo alama zinamaana zifuatazo
"-"= ondoa attribute/permition,
h=hidden
s=system
r=read-only
a=archive
/s=sub directory
/d=directory,
drive_letter= herufi ya drive inavyoonekana kwenye windows explorer (mfano. j:,h: or D na
*.* inaitwa wild card.