Njia panda ushauri wenu jamani.

rikiboy

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
22,170
Reaction score
43,974
Jamani kuna changamoto flani Jamaa angu amekutana nayo anahitaji ushauri. Mshikaji amekuwa in relationship na mdada flani wa chuo kwa muda sasa na wanaaminiana sana yani sasa Juzi kato walikutana baada ya kusex siku tatu mbele akaanza kuhisi maumivu akikojoa na kuona kama discharge flani nyeupe kabla ya mkojo kutoka akitaka kukojoa..! Jamaa kaambiwa ni Gonorrhea akapewa na dawa sasa mshkaji yupo njia panda maana demu anampenda sana na anamuamini kumwambia anaogopa japo kiukweli mwana hajawahi chepuka kabisa anavyodai..


Je amuulize demu wake kuhusiana na hili suala la huu ugonjwa wa Ngono??? Je mwanamke akimgeuzia kibao maana mwana anampenda sana demu yani...[emoji24][emoji24]
 
Samahani mkuu...
Kwa sisi wahenga, umerahisisha tukubaini kama wewe ndie muhusika.
Nitarudi kukushauri...
 
ni mambo ya kuomba ushauri ayo.
hata mwanachuo wa veta hawezi kuja mbele ya hadhara kuomba ushauri kwa vitu vinavyoeleweka kam ivi
 
Jisemelee tu, mwambie mrembo, mimi mbwa nina gono la mbwa, nisamehe twende tukatibiwe.
 
Wakuu sio mimi walahi..!!
 
Kwanza wote waende wakapate tiba,baada ya hapo wafungue ukurasa mpya wa mapenzi...yaliyopita wasameheane.
 
Anajuaje kwamba huo ugonjwa kaupata kutoka kwa huyo mdada?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nimecheka kwa sauti.

Calm down mkuu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Daah toeni ushauri bhasi
 
Hapana, asubiri kwanza mpaka akipata na UKIMWI ndio amuulize status yake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwambie asimwambie sasa hivi asubiri akipewa na kaswende ndio amueleze yote kwa pamoja!
 
Usipoongea utaupata tena km nae asipotibiwa.. Labda umuache
 
Huyo jamaa ni pimbi sana.yaan demu akuletee ugonjwa then unaogopa kumwambia eti unampenda..mwambie asubir HIV/AIDS...
Kama kaleta gonorhorea haishindikani kuleta ukimwi maana hyo dem hajitambui alipigwa na jamaa mwenye maambukizi pekupeku
 
Hapana, asubiri kwanza mpaka akipata na UKIMWI ndio amuulize status yake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahaha

Mkuu umeongea la msingi sana naomba azingatie huu ushauri!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…