Big One
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 759
- 47
jaman kuna vijana wanafanya kaz ya kuondoa daladala zinazopakia kwenye corner sasa sijui wameajiliwa na nani yan full makelele matusi wao kwa wale wanaojuana wanapakia njian huu naweza sema ni mradi bubu wenyewe wanasema mjin mipango invyoonyesha kunamipango imepangwa hapo