Hebu tupe somo maana mh jiwe kashasema zalianeni tumm nasemaga ningekuwa men ningekula mwanamke yyt anayenivutia !kumpata mwanamke easy sana... tena sana tu! sasa nyie puh mnakwaza !mtu anakuona na pete ya ndoa anaropokwa oh umeolewa?? wake za watu wanakuwaga hawaridhishwi nikabidh huo mwili nikuridhishe!khaaa unabaki unamshangaa huyukinyesi katumwa?dadek zao ! yaan uwe na pesa usiwe nazo easy sana kum-win mwanamke
Wote mko sahihi. Mbiti, kwa kuwa ni mwanamke, anajua ni nini mwanamke anataka, hivyo, anaona ingekuwa ni rahisi kwake "kumkula" mwanamke yeyote amtakaye (kama angekuwa mwanaume). Kwenu ni vigumu coz Hamjua mahitaji hasa ya mwanamke ni yapi. Mbaya zaidi hiki kizazi kimeingiliwa. Unaweza ukatumia mbinu za kifilipino kuwin love kumbe mwenzio anataka hela mmalizane . Wakati huo huo kwa mwingine, ukitanguliza Hela unampoteza. Ataona kama vile umemweka kwenye kundi LA wauza tumbua .mm nasemaga ningekuwa men ningekula mwanamke yyt anayenivutia !kumpata mwanamke easy sana... tena sana tu! sasa nyie puh mnakwaza !mtu anakuona na pete ya ndoa anaropokwa oh umeolewa?? wake za watu wanakuwaga hawaridhishwi nikabidh huo mwili nikuridhishe!khaaa unabaki unamshangaa huyukinyesi katumwa?dadek zao ! yaan uwe na pesa usiwe nazo easy sana kum-win mwanamke
Dada yangu believe me, unasema hivyo kwasababu wewe ni mwanamke (umeongea from your own female point of view) bila kuangalia reality jinsi ilivyo, i wish ungekuwa mwanaume ndo ungenielewa zaidi, kumla mwanamke yoyote anaekuvutia sio rahisi kama unavofikiria MBITIYAZA
Nikabidh huo mwili nikuridhishemm nasemaga ningekuwa men ningekula mwanamke yyt anayenivutia !kumpata mwanamke easy sana... tena sana tu! sasa nyie puh mnakwaza !mtu anakuona na pete ya ndoa anaropokwa oh umeolewa?? wake za watu wanakuwaga hawaridhishwi nikabidh huo mwili nikuridhishe!khaaa unabaki unamshangaa huyukinyesi katumwa?dadek zao ! yaan uwe na pesa usiwe nazo easy sana kum-win mwanamke
Tupe bhana formula hizo tukamdake wema sepetu.mm siwez kutoa!atleast muambizane wenyewe !kuna wanaume wanakung'ang'aniza namba miez na miez uwii ptu
Aisee ngoja tujifunzemm nasemaga ningekuwa men ningekula mwanamke yyt anayenivutia !kumpata mwanamke easy sana... tena sana tu! sasa nyie puh mnakwaza !mtu anakuona na pete ya ndoa anaropokwa oh umeolewa?? wake za watu wanakuwaga hawaridhishwi nikabidh huo mwili nikuridhishe!khaaa unabaki unamshangaa huyukinyesi katumwa?dadek zao ! yaan uwe na pesa usiwe nazo easy sana kum-win mwanamke
kila la heriAisee ngoja tujifunze
Tupe bhana formula hizo tukamdake wema sepetu.
Nikabidh huo mwili nikuridhishe
Wote mko sahihi. Mbiti, kwa kuwa ni mwanamke, anajua ni nini mwanamke anataka, hivyo, anaona ingekuwa ni rahisi kwake "kumkula" mwanamke yeyote amtakaye (kama angekuwa mwanaume). Kwenu ni vigumu coz Hamjua mahitaji hasa ya mwanamke ni yapi. Mbaya zaidi hiki kizazi kimeingiliwa. Unaweza ukatumia mbinu za kifilipino kuwin love kumbe mwenzio anataka hela mmalizane . Wakati huo huo kwa mwingine, ukitanguliza Hela unampoteza. Ataona kama vile umemweka kwenye kundi LA wauza tumbua .
Kusema ukweli Mimi nasubiri mwanamke Ndo anitongoze maana naamini mwanamke Ndo anenjoy sana kuliko Mimi. Angalau hata ajipitishe pitishe hivi mfano huko pm nk ili kwangu iwe rahisi kutamka tu..bila hivyo mi ni kauzu wa kutupa. Lakini pia naamini raha ya mapenzi mpaka ufurahi ni mwanamke akutake yeye.. Utaenjoy sana. Nikimtongoza mwanamke km hajaonyesha interest na kukataliwa Naona km namlazimisha. Sio formula lakini.kila la heri
Tatizo Si kila mtu Ana muda Wa kung'ang'ania hivi. mambo mengi na wengine ku-ignore vitu ni Kama kunywa majimm siwez kutoa!atleast muambizane wenyewe !kuna wanaume wanakung'ang'aniza namba miez na miez uwii ptu
Kusema ukweli Mimi nasubiri mwanamke Ndo anitongoze maana naamini mwanamke Ndo anenjoy sana kuliko Mimi. Angalau hata ajipitishe pitishe hivi mfano huko pm nk ili kwangu iwe rahisi kutamka tu..bila hivyo mi ni kauzu wa kutupa. Lakini pia naamini raha ya mapenzi mpaka ufurahi ni mwanamke akutake yeye.. Utaenjoy sana. Nikimtongoza mwanamke km hajaonyesha interest na kukataliwa Naona km namlazimisha. Sio formula lakini.
kwelTatizo Si kila mtu Ana muda Wa kung'ang'ania hivi. mambo mengi na wengine ku-ignore vitu ni Kama kunywa maji
Aaarghh... !!