Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,172
- 7,428
- Thread starter
- #21
Uko sahihi mkuu, ila kipi kinaanza kabla ya kipi?Tunataka Taasisi Imara za Ajabu kwanza Viongozi hata kama sio wa Ajabu hakuna tatizo
Au kuku na yai?
Uko sahihi mkuu, ila kipi kinaanza kabla ya kipi?Tunataka Taasisi Imara za Ajabu kwanza Viongozi hata kama sio wa Ajabu hakuna tatizo
Mkuu, ukifanya randomly sampling & competence based sorting lazima upate reprentative sample yenye watu wote including wanaume na wanawake. Otherwise labda tuseme kuna kundi halina akili lakini kama wote wana akili watatokea tu.Hapo kwenye uwiano wa kijinsia ndio umeharibu.
Sasa kati ya hao watatu wakiwa wanaume wote itabidi umuache mmoja ili umchomeke mwanamke mmoja?